Niulize chochote kuhusu Jiografia

Niulize chochote kuhusu Jiografia

Mbona naona maswali tu sioni majibu huyu mtoa uzi ameishia mitini?
Jiografia za nyuma kidogo hata miaka ya themanini zilituaminisha kwamba ulimwengu una sayari 9 leo wansema wameshagundua mass nazingine sijui zina majina gani; je hizi zimetokea hivi karibuni.....au uwezo wa mwanasayansi tusiuamini sana?
Mkuu ni kweli sayari tuliambiwa ziko tisa, ila ukumbuke technolojia inakua kila siku na hata katika sayansi wanakiri kwamba hawana majibu yote katika sayansi, hivyo kuendelea kugundulika sayari nyingine katika galaxy nyinginezo si kitu cha ajabu!!
Universe is infinity!!
 
Dinosaurs ni viumbe vya katika hadithi au kweli? na kama kweli kwanini vilitoweka na binadamu tusitoweke.
Hao viumbe ni kweli walikuwepo maana mabaki yake yameendelea kugunduliwa sehemu mbali mbali duniani, na inakadiriwa hawa viumbe waliishi miaka 160m iliyopita..
Kuhusu kupotea kwao ukilinganisha na binadamu inategemea sana na sababu za hao viumbe kupotea, pengine zinaweza kuja kutokea pia sababu za binadamu nao kupotea katika hii sayari!!
 
Hii kitu wanayoiita black hole ni nn asa??? Na kwnn wanatuambia mvutano uliopo ktk black hole ata hewa haiwezi kupenya
 
Mkuu ni kweli sayari tuliambiwa ziko tisa, ila ukumbuke technolojia inakua kila siku na hata katika sayansi wanakiri kwamba hawana majibu yote katika sayansi, hivyo kuendelea kugundulika sayari nyingine katika galaxy nyinginezo si kitu cha ajabu!!
Universe is infinity!!
Kama kweli sayansi wanajua haina majibu yote, kwa nini katika jiografia hiyo walisema "ziko tisa" na siyo "zinafahamika tisa?"
 
Hao viumbe ni kweli walikuwepo maana mabaki yake yameendelea kugunduliwa sehemu mbali mbali duniani, na inakadiriwa hawa viumbe waliishi miaka 160m iliyopita..
Kuhusu kupotea kwao ukilinganisha na binadamu inategemea sana na sababu za hao viumbe kupotea, pengine zinaweza kuja kutokea pia sababu za binadamu nao kupotea katika hii sayari!!
Miaka ya tisini na... Zilivuma kwamba mwaka 2000itakuwa mwisho wa dunia, hii ilitokana na vyombo vyao vyote kushindwa kuonesha namba 2001, unatuamisha vipi kwamba kuna chombo au akili ya kutambua habari ai tukio la miaka yote hiyo ambayo hata vitabu vya dini havitaji?
 
ni kwanini ktk milima soil erosion inatokea kila wakati tangu miaka mingi iliyopita lakini hatujawai kusikia mlima umeisha hadi imekuwa tambalale
 
Watu wanamaswali ya msingi sana, na sio kwamba hawajui bali tunahitaji kujokumbusha maana ni mda kitambo. Majibu tafadhari
 
Niliwahi kusikia upinde wa mvua ni ahadi kati ya Mungu na nabii Nuhu ili kuzuia mvua ya gharika je ni kweli?
 
Mbona naona maswali tu sioni majibu huyu mtoa uzi ameishia mitini?
Jiografia za nyuma kidogo hata miaka ya themanini zilituaminisha kwamba ulimwengu una sayari 9 leo wansema wameshagundua mass nazingine sijui zina majina gani; je hizi zimetokea hivi karibuni.....au uwezo wa mwanasayansi tusiuamini sana?
Hata mimi nimepata mshangao sioni majibu.
Jamaa hakujianda vizuri nini?
 
Je, zinahitajika walau (minimum) satelaiti ngapi zinazoizunguka dunia ili ziweze kuchukua picha ya eneo moja mahususi kwa nyakati zote bila kuathiriwa na mizunguko ya dunia?
Hizo satellite zinawekwaje huko angan ??
 
nna swali kweny layers aof atmosphere y exosphere z dark while as we go up from the first layer we aproach the sun?
 
me navyojua khuc dunia kuznguka jua au kujzungsha kweny muhmili wake kuna nguvu(force) inaitw gravitational force inashkilia pull objects to the centre xo hwez kuskia dunia wakat inaznguka kwasabab ya hyo gravitational force
 
Kama wanasayansi wanavyozidi kubuni Telescope zenye uwezo wakuona mbali zaid na wanazidi kugundua vitu sayari nyota zilizo mbali sanaa na dunia"
Je kuna mwisho/ukingo wa huu ulimwengu?
 
Hivi hali ya hewa ya Dodoma na Dar kuna uhusiano wa kijografia mkuu???
 
Mtoa mada mbona umekimbia? Majibu unayotoa pia hayajitoshelezi au umeenda kugoogle.
 
Mbona naona maswali tu sioni majibu huyu mtoa uzi ameishia mitini?
Jiografia za nyuma kidogo hata miaka ya themanini zilituaminisha kwamba ulimwengu una sayari 9 leo wansema wameshagundua mass nazingine sijui zina majina gani; je hizi zimetokea hivi karibuni.....au uwezo wa mwanasayansi tusiuamini sana?
Wanasayansi wanajitahdi kugundua bry powerful Telescope zenye kuweza kuona mbali zaid, Kwaio bado kuna vitu vingi katka ulimwengu huu hatujaviona
 
Mkuu ni kweli sayari tuliambiwa ziko tisa, ila ukumbuke technolojia inakua kila siku na hata katika sayansi wanakiri kwamba hawana majibu yote katika sayansi, hivyo kuendelea kugundulika sayari nyingine katika galaxy nyinginezo si kitu cha ajabu!!
Universe is infinity!!
Hapo kwenye swala la universe ni infinity ndio hua najiulizaga sana..hakuna ukingo au mwisho wa ulimengu kweli? Kama hakuna je huko tusiko kujua kuna nini giza tu au ulimwengu mwengine
 
ni kwanini ktk milima soil erosion inatokea kila wakati tangu miaka mingi iliyopita lakini hatujawai kusikia mlima umeisha hadi imekuwa tambalale
Isostacy theory imeelezea vizuri hii kitu...
Kiasi kinachokuwa eroded ndicho kinaenda kutengeneza mgandamizo ambao baadaye unatengeneza mwinuko hivyo balance inaendelea kuwepo!!
 
Back
Top Bottom