Sagungu 1914
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 943
- 617
Je dunia ni nini? Kama dunia ni ardhi na mbingu yake mbona mnapo dai kuwa dunia inazunguka sijawahi kuamuka labda nipo marekani?
Na kama hivyo ndivyo,...basi ndege ingekuwa haitumii nguvu kuelekea magharibi,ingening'inia tu,ikitegemea mzunguko wa dunia mpaka kufika hiyo point B.Ndege inasukumwa na nguvu ya ziada(engine) toka point A kwenda B.
Je, zinahitajika walau (minimum) satelaiti ngapi zinazoizunguka dunia ili ziweze kuchukua picha ya eneo moja mahususi kwa nyakati zote bila kuathiriwa na mizunguko ya dunia?Nakaribisha maswali kwenye hili eneo kuhusu tabia nchi, hali ya hewa, mabonde, milima, mito, bahari, mazingira, majanga ya asili, anga na mengine yaliyomo. Lolote linalokutatiza uliza, majibu utapata hata kama siyo kwangu wengine watasaidia.
mbona mji mkuu wa tanzania ni dar es salaam na makao makuu ya tanzania ni dodomaHakuna tofauti, mara nyingi makao makuu ya nchi yanakuwa katika mji mkuu! Hivyo basi mji mkuu ambao unakuwa makao makuu ya nchi shughuli zote kuu za serikali zapaswa kufanyika hapo!
Kwa tafsiri hiyo hapo juu, mji mkuu kwa Tanzania ni Dodoma na makao makuu pia, na ndiyo maana zinasikika harakati za kuhamishia shughuli kuu za serikali huko!!
Naomba nikuulizeMkuu dunia inapozunguka inazunguka pamoja na anga lake(Atmosphere), hivyo chochote ambacho kipo ndani ya atmophere kitaenda pamoja na mwendo wa dunia, hii ndiyo maana mvua inanyesha eneo moja hata masaa 24..
Sayansi hiyo sasa, ni jiografia gani hiyo!!!Naomba nikuulize
Nijuavyo atmosphere ni hewa something intangible inakuwaje wakati wa rotation na revolving inakua attached together na earth ambayo ni solid?
Hiyo ni geography kabisa au mesahau definition ya geography kipindi kile cha form one kwamba geography is the branch of science?Sayansi hiyo sasa, ni jiografia gani hiyo!!!
mitarakwa na ma apple!Ni mimea gani inayostawi katika nchi zenye baridi Kali kama urusi ambako baridi hufikia nyuzi -20
tunaaminishwa kuwa distance ya jua na dunia ni kati ya 149_152mil of km,how sure ktk ili wakati tunajua akuna kitu ambacho kinachoweza kulifikia jua kutokana na miali yake kuwa mikal sana kiasi kwamba kinayeyusha kila kitu