Niulize chochote kuhusu Jiografia

Niulize chochote kuhusu Jiografia

Kwa nini mvua inanyesha huku jua kali linawaka?

Nakumbuka tulikuwa tunaambiwa kwamba Simba amezaa, kijiografia ikoje?
Kikubwa hapa tunatakiwa kujua namna mvua inavyofanyika.. Habari za simba kuzaa ni story tu za mtaani!!
Mvua ni matokeo ya mvuke uliojikusanya toka vyanzo mbali mbali vya maji na kujikusanya katika mawingu, mwisho wa siku mawingu yanaposhindwa kuendelea kuhold uwe mvuke unabadilika form yake na kuwa maji na hatimaye kuanguka kama mvua!

Kwahiyo mvua inaponyesha haimaanishi kwamba jua linakuwa halipo(mchana)ila linakuwa tu limezibwa na mawingu... Kama kutakuwa hakuna mawingu ya kutosha ya kuliziba jua, basi litaonekana tu na kupelekea kutengeneza kitu kinachoitwa Rainbow.. Ambayo mtaani wengine wanaita "kipinga mvua"
 
je nini kinatokea pale ndege inapokua angani mala ghafla bin vuu tunaskia midundo dundo/mtetemeko mkali kana kwamba ni matuta tunayavuka na ndege wakati tuko angani? ni nini kinasababisha? je inaweza kusababisha ndege kukatika katikati?

MFANO ANGALIA HII VIDEO

 
Je kuna tofauti kati ya mji mkuu na makao makuu ya nchi? Na je mji mkuu wa tanzania ni upi na makao makuu ni wap?
Mkuu,
usituchora bwana ina maana hujui hayo unauliza?
Mji mkuu wa Tanzania ni Dar es salaam, else you can call it commercial city.
Makao makuu au capital city ya Tanzania ni Dodoma.
Tufunge hilo file.
 
Ni mimea gani inayostawi katika nchi zenye baridi Kali kama urusi ambako baridi hufikia nyuzi -20
 
je nini kinatokea pale ndege inapokua angani mala ghafla bin vuu tunaskia midundo dundo/mtetemeko mkali kana kwamba ni matuta tunayavuka na ndege wakati tuko angani? ni nini kinasababisha? je inaweza kusababisha ndege kukatika katikati?

MFANO ANGALIA HII VIDEO


Mkuu,
Jibu ni kwamba, Angani kuna mchanganyiko wa hewa nzito na baridi ambayo hujikusanya kuwa mawingu, ambayo kabla ya kufikia sehemu na kuyayuka kuwa mvua
Husukumwa na upepo from one place to another hivi ndege inapofika katika portion ambayo msukumano upo ndio ndege hutetemeka.
 
Suala la dunia kuzunguka dunia siyo suala la imani, tayari imethibitishwa hivyo!!
Suala la gheto kugeukia upande mwingine haliwezi kutokea sababu sisi tupo kwenye surface ya dunia, hivyo position ya vyote vilivyomo vikichagizwa na nguvu ya uvutano(gravitational force) haviwezi kubadili position!
Nenda equator pale Uganda watakuonyesha na utaprove kweli dunia inazunguka
 
Tunaaminishwa kuwa dunia hulizunguka jua kutoka magharibi kwenda mashariki; lakini sijawahi kuta mlango wa ghetto langu umegeukia upande mwingine hata siku moja, kwa nini isiwe hivyo kama dunia hujizungusha kweli?
Kwani umeambiwa kinachozunguka ni dunia au ghetto?
 
Nakaribisha maswali kwenye hili eneo kuhusu tabia nchi, hali ya hewa, mabonde, milima, mito, bahari, mazingira, majanga ya asili, anga na mengine yaliyomo. Lolote linalokutatiza uliza, majibu utapata hata kama siyo kwangu wengine watasaidia.

View attachment 372747
Kwa nini kitu kikielea ''Kiwe stationery'' Hapo kwenye Tropo.... 10 km...kwa masaa 24...tutaendelea kukiona?
Je? ni uwongo kwamba dunia inazunguka?..kwa manake kama dunia ingekuwa inazunguka basi hicho kitu kingepotea polepole na tukakiona kesho yake baada ya mzunguko wa saa 24.Tunaomba ufahamu tafadhali.
 
Sir naomba unipe sababu ni kwanini volcanic eruptions zinatokea on the upper surfaces like mountains kwanini sio on the flat surface tambarare?
 
Nakaribisha maswali kwenye hili eneo kuhusu tabia nchi, hali ya hewa, mabonde, milima, mito, bahari, mazingira, majanga ya asili, anga na mengine yaliyomo. Lolote linalokutatiza uliza, majibu utapata hata kama siyo kwangu wengine watasaidia.

View attachment 372747
9745a922eb0c9450b62b0b16cc95819c


Wana Sayansi wamegundua mlolongo wa Sayari nyingi zisizo na idadi ambazo tabia yake ni kama Sayari yetu hii tuliyomo.Hili unalizungumziaje?
 
Nakaribisha maswali kwenye hili eneo kuhusu tabia nchi, hali ya hewa, mabonde, milima, mito, bahari, mazingira, majanga ya asili, anga na mengine yaliyomo. Lolote linalokutatiza uliza, majibu utapata hata kama siyo kwangu wengine watasaidia.

View attachment 372747
What is next after thermosphere and difference with other spheres?
 
Kwa nini kitu kikielea ''Kiwe stationery'' Hapo kwenye Tropo.... 10 km...kwa masaa 24...tutaendelea kukiona?
Je? ni uwongo kwamba dunia inazunguka?..kwa manake kama dunia ingekuwa inazunguka basi hicho kitu kingepotea polepole na tukakiona kesho yake baada ya mzunguko wa saa 24.Tunaomba ufahamu tafadhali.
Mkuu dunia inapozunguka inazunguka pamoja na anga lake(Atmosphere), hivyo chochote ambacho kipo ndani ya atmophere kitaenda pamoja na mwendo wa dunia, hii ndiyo maana mvua inanyesha eneo moja hata masaa 24..
 
Mkuu dunia inapozunguka inazunguka pamoja na anga lake(Atmosphere), hivyo chochote ambacho kipo ndani ya atmophere kitaenda pamoja na mwendo wa dunia, hii ndiyo maana mvua inanyesha eneo moja hata masaa 24..
Kama hivyo ndivyo, ndege isingeweza kutoka point A kwenda point B.
 
Back
Top Bottom