muhamar Gadaf
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 1,054
- 994
asanre sana mkuu wa uzi mzuri
hakika una tusaidia sana.
mkuu naomba kuuliza.
gari yangu ni IST
kila nikiwasha kuna kama mswaki wa bluu unatokeza kwenye dash board na kujifuta baada kama ya dakika 3 hivi
hii alama ina maana gani ?
pili naweza aje kugundua kupitia dash board kua engine oil imepungua sana ili nibadilishe ?
asante
hakika una tusaidia sana.
mkuu naomba kuuliza.
gari yangu ni IST
kila nikiwasha kuna kama mswaki wa bluu unatokeza kwenye dash board na kujifuta baada kama ya dakika 3 hivi
hii alama ina maana gani ?
pili naweza aje kugundua kupitia dash board kua engine oil imepungua sana ili nibadilishe ?
asante