Nimepewa verification code na Rita na nimemaliza kuapply loan board tatizo Ni cheti toka Rita chenye muhuri wao ili niattach na fomu za heslb nitume kwa ems. Tatzo litakuwa nini hapo msaada. Application heslb nimemaliza kam wiki 2 sasa ila cheti cha kuzaliwa Rita bado soft copy japo code nilipata ndio nilzotumia kuomba mkopo