picture from Kenya wholesale deliveryView attachment 1802552
Unga wa sembe,unga wa ngano Mfuta yakupikia, Pempers, Sabuni Soft aina zote, chumvi, biscuits, Tomato,majani ya chai,madaftari Aina zote marapa sabauni za unga Aina zote vibiriti nk...Unaweza nisaidia list ya bidhaa nnazoweza Kuanza nazo
Unga wa sembe,unga wa ngano Mfuta yakupikia, Pempers, Sabuni Soft aina zote, chumvi, biscuits, Tomato,majani ya chai,madaftari Aina zote marapa sabauni za unga Aina zote vibiriti nk...
MKUU,
NAOMBA UNISAIDIE BEI YA KIWANDANI KWA CARTON ZA MADAFTARI;
1) QUIRE 1, 2, 3 NA 4,
2) MSOMI na
3) PAGE100 (Excellent).
PIA NATAKIWA KUNUNUA MZIGO WA KIASI GANI ILI NIPATIE BIDHAA HIZO KUTOKA KIWANDANI?
Unaweza kunisaidia wanapopatikana Maagent wa hayo madaftari kwa Dar?: kiwandani terms zao wanauza kwa tan so kwa mantki hiyo itakuhitaji ununue kwa Ajent almost 90% ya bidhaa unazoona zinauzwa kwenye maduka ya jumla wananua kwa Ajent
Wao maajent hununua kwa Tan na kuanza kuuzambaza mzigoo
So ukiona maduka ya jumla yakiuza bidhaa zake mfano madaftari, kalamu, pipi,big g, mrapa ujuee wanachukua mizgo kwa maajent tofauti tofauti then wanavi-mix kwa pamoja then wanauzia maduka ya rejareja....
I hope umesoma bro
Nashukuru Wakulungwa, japo hii catalog ni had uchat na mhusika akupe bei..pale hawajaweka bei za bidhaa zao. Kwa maana hiyo uzo wako ni mtamu ila bado swal la kujua current bei za bidhaa mbali mbali (whole sales) litabaki kitendawili..Ukisha follow link ingia hii sehemu iloyoandikwa Category utakuta list za bidhaa zao
Hapa ndio wanaponunua matajiri nakuja kuuza kwenye maduka yao ya jumla
Wanapata kwa Bei nafuu snaa View attachment 1800463
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow this link to view our catalogue on WhatsApp: Näytä yrityksen Mzuri Sweets Limited katalogi WhatsAppissa
Kuna changamoto nyingi kwenye kuzikusanya bei nataka nikija nije na full nondoNashukuru Wakulungwa, japo hii catalog ni had uchat na mhusika akupe bei..pale hawajaweka bei za bidhaa zao. Kwa maana hiyo uzo wako ni mtamu ila bado swal la kujua current bei za bidhaa mbali mbali (whole sales) litabaki kitendawili..
Kitu ambacho ni msingi sna katika huu uzi wako pendwa
Ila white wash siku hizi zimeadimika sijui kwa niniSabuni hizi za Jamaa,White Wash, nk..moja kati ya biashara ambayo inatembea kwenye soko almost 98% ya maduka yanayouza vitu mchanganyko basi kwenye shelf zao unakuta wamepanga vipande vya Sabuni:
Bei yake ya jumla kiwandani inacheza kati ya elf 40-43View attachment 1793831
Daah kuna vitu havipandi bei...nakumbuka 2014 niliuza duka la jumla tuliuza kwa 38moja kati ya Duka la jumla
Hapa wanajalibu kufanya online sales & Free delivery wanadai wanafika popote in Dar wanakuletea mzigoo...
View attachment 1794298
Aah kumbe...mimi nilijua ni za Mo. Sabuni nzuri sana hizi japo watu wengi hawajagunduaUkiona ivyo soko kubwa kuliko import inayoingia nchini hizi sabuni kiwanda chake kipo kenya
Ukiona ivyo soko kubwa kuliko import inayoingia nchini hizi sabuni kiwanda chake kipo kenya