Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,301
Gharama za usafirishaji sio ghali sana mkuu? Au ma super dealer pia wanapatikana mikoani kwa maana ya wauzaji wakuu / wakubwa wale?K,koo mkuu
Gharama za usafirishaji sio ghali sana mkuu? Au ma super dealer pia wanapatikana mikoani kwa maana ya wauzaji wakuu / wakubwa wale?K,koo mkuu
Hongera sana mkuu, kwa faida ya uzi huu uwe unaweka updates kila mara, ulipofikia, changamoto n.k utatusaidia sana Mrs boboKupitia uzi huu nimeanza mdogo mdogo...
View attachment 1807752
Hakika Kuna nyuzi zipo huko ni za maana Sana ila nashangaa hazipewi majibu yaliyokamilika.JF inabidi wajipange kwenye constructive thread kama hii moderators wasaidie kuhakikisha masuala yote muhimu yanayohusiana na biashara hii yameulizwa na kupatiwa majibu au laa wametafuta experienced people ktk biashara hii na wametupa insights
Naomba nieleweke kuwa simaanishi Moderators waingilie mijadala yetu, Laa ninachomaanisha waje humu walete maswali ambayo yana changamoto tuulizane na tupatiane majibu
Kwa mfano kuna suala la Profitability ya hii biashara ikoje ?
Ili ufanikiwe kwenye biashara hii ni vigezo gani vinahitajika ?
Kuna changamoto gani ?
Na kadhaalika na kadhaalika
Uzi ulipaswa uendelee huuUzi makini
Kuna kampuni kama wasoko, kyosk,mtwara kwetu wanawasambaziaWao (wauza maduka ya jumla) bidhaa wanazitoa wapi? Kiwandani au kuna wauzaji wengine wajumla Kuu.
Mkuu naomba namba yako nipate elimu kwako!Moja kwa moja twende kwenye mada
Kama unamalemgo yakufua biashara ya duka hii jumla achana na haya maduka ya mtaania ya Mangi nazungumzia biashara ya jumla mfano pipi, Tambi, Unga, Mafuta,sabuni,nk...
Karibu nipo tayari kushare my experience yangu kwenye hii biashara nayafahamu mengi zaidi na zaidi kwenye hi biashara...
Bidhaa nyingi zinapatikana kwenye viwanda ndipo wanapo nunua hawa matajiri nakuweka kwenye maduka yao ya Jumla
Almost asilimia 98% zinazalishwa hapa hapa Nchini.
Unga wa sembe,unga wa ngano Mfuta yakupikia, Pempers, Sabuni Soft aina zote, chumvi, biscuits, Tomato,majani ya chai,madaftari Aina zote marapa sabauni za unga Aina zote vibiriti nk...
Chamsingi nikuangalia bidhaa zipi utaanza nazo kutokana na mataji wako.