Niulize chochote kuhusiana na biashara ya duka la jumla

JF inabidi wajipange kwenye constructive thread kama hii moderators wasaidie kuhakikisha masuala yote muhimu yanayohusiana na biashara hii yameulizwa na kupatiwa majibu au laa wametafuta experienced people ktk biashara hii na wametupa insights
Naomba nieleweke kuwa simaanishi Moderators waingilie mijadala yetu, Laa ninachomaanisha waje humu walete maswali ambayo yana changamoto tuulizane na tupatiane majibu
Kwa mfano kuna suala la Profitability ya hii biashara ikoje ?
Ili ufanikiwe kwenye biashara hii ni vigezo gani vinahitajika ?
Kuna changamoto gani ?

Na kadhaalika na kadhaalika
 
JF inabidi wajipange kwenye constructive thread kama hii moderators wasaidie kuhakikisha masuala yote muhimu yanayohusiana na biashara hii yameulizwa na kupatiwa majibu au laa wametafuta experienced people ktk biashara hii na wametupa insights
Naomba nieleweke kuwa simaanishi Moderators waingilie mijadala yetu, Laa ninachomaanisha waje humu walete maswali ambayo yana changamoto tuulizane na tupatiane majibu
Kwa mfano kuna suala la Profitability ya hii biashara ikoje ?
Ili ufanikiwe kwenye biashara hii ni vigezo gani vinahitajika ?
Kuna changamoto gani ?

Na kadhaalika na kadhaalika
Hakika Kuna nyuzi zipo huko ni za maana Sana ila nashangaa hazipewi majibu yaliyokamilika.
 
Tuufufue huu uzi,ukifufuka nashusha nondo,hakika ni biashara nzuri lkn uwe mvumilivu hii ndo sifa sio unaulizia Friday na changamoto tu,mtu anaeuliza faida na hesabu za karatasi hatoboi.

Mtu anaefanya
 
Moja kwa moja twende kwenye mada

Kama unamalemgo yakufua biashara ya duka hii jumla achana na haya maduka ya mtaania ya Mangi nazungumzia biashara ya jumla mfano pipi, Tambi, Unga, Mafuta,sabuni,nk...

Karibu nipo tayari kushare my experience yangu kwenye hii biashara nayafahamu mengi zaidi na zaidi kwenye hi biashara...

Bidhaa nyingi zinapatikana kwenye viwanda ndipo wanapo nunua hawa matajiri nakuweka kwenye maduka yao ya Jumla

Almost asilimia 98% zinazalishwa hapa hapa Nchini.

Unga wa sembe,unga wa ngano Mfuta yakupikia, Pempers, Sabuni Soft aina zote, chumvi, biscuits, Tomato,majani ya chai,madaftari Aina zote marapa sabauni za unga Aina zote vibiriti nk...

Chamsingi nikuangalia bidhaa zipi utaanza nazo kutokana na mataji wako.

Mkuu naomba namba yako nipate elimu kwako!
 
Mimi mpaka saivi nimeshapata frem na nimelipia kabisa nishaweka mashelfu nishanunua Freezer na mzani pia.
Nina mtaji wa 1.5M nataka niidondoshe apo dukani. Nahitaji mawazo yenu wakuuu. Location chanika mwisho.
 
Back
Top Bottom