Bei za kuuzia unapangaje ?Wholesale ShopView attachment 1804478
ukiwa mgeni kwenye biashara swala la kupanga bei halitokuchua muda kulielewaBei za kuuzia unapangaje ?
Au unaangalia wenzio wanauza vipi ?
Jumla na leja leja ndo mzunguko wake naona upo fasta sana.Maduka yamegawanyika kwenye makundi mengi
Kuna maduka yanauza jumla tu
Kuna maduka yanauza jumla na rejareja
Kuna maduka yanauza rejareja
Definitely mkuu hapo utakua umevuka stage upo middle kwenye rejareja upo kwenye jumla upoJumla na leja leja ndo mzunguko wake naona upo fasta sana.
Umeona eeDuuh sasa wao si wanakua wanachukua vcha nyng sana ili faida ije
mkuu naomba msaada wa namba wa mtu anaeza vitu hivi kwenye picha km soysouce,ajinamoto,vinegar,vanilla,nk.Wholesale ShopView attachment 1804474
Hebu tuelezee jinsi unavyoweka rekodi ya mauzo na kuhakikisha kila kitu kinakuwa kwenye order na jinsi unavojua hapa nimepata hasara kwa kitu fulan au faida na mambo mengine ambayo hatuyajui. Manake hiyo kitu ndo inanichanganya sana nikifikiria kuanza biasharaMoja kwa moja twende kwenye mada
Kama unamalemgo yakufua biashara ya duka hii jumla achana na haya maduka ya mtaania ya Mangi nazungumzia biashara ya jumla mfano pipi, Tambi, Unga, Mafuta,sabuni,nk...
Karibu nipo tayari kushare my experience yangu kwenye hii biashara nayafahamu mengi zaidi na zaidi kwenye hi biashara...
Bidhaa nyingi zinapatikana kwenye viwanda ndipo wanapo nunua hawa matajiri nakuweka kwenye maduka yao ya Jumla
Almost asilimia 98% zinazalishwa hapa hapa Nchini.
Unga wa sembe,unga wa ngano Mfuta yakupikia, Pempers, Sabuni Soft aina zote, chumvi, biscuits, Tomato,majani ya chai,madaftari Aina zote marapa sabauni za unga Aina zote vibiriti nk...
Chamsingi nikuangalia bidhaa zipi utaanza nazo kutokana na mataji wako.
Swali zuri SanaHebu tuelezee jinsi unavyoweka rekodi ya mauzo na kuhakikisha kila kitu kinakuwa kwenye order na jinsi unavojua hapa nimepata hasara kwa kitu fulan au faida na mambo mengine ambayo hatuyajui. Manake hiyo kitu ndo inanichanganya sana nikifikiria kuanza biashara