Mkuu hii kampuni ya Azania kumbe mmiliki ni Bakhresa?Kuna Marhaba ya mzee Bakharesa View attachment 1803046
Kariakoo huwa wapo maeneo gani mkuu.Ukienda pale k,koo utaona maduka ya maa-jent wa madaftari
Hapa inategemea unachukua kwa wingi kiasi gani
Kila kiwanda kinauza bidhaa zake kwa kiwango fran
Mfano ukitaka sabuni ya Unga Kuna idadi unatakiwa uifikiee kama huwezi kuifikia basi watakakutaka ukanunue kwa Ajent wao...
Kila kiwanda kina sheria zakee
Naamini umenielewa??
Wanaouza vocha za jumla wanazitoa wapi ? Na faida zikoje ?
Wauzaji wa hivyo vifaa wanaofahamika kwa Kariakoo,Ukienda pale k,koo utaona maduka ya maa-jent wa madaftari
We pimbi nirudishe kwenye group la cohu.Wauzaji wa hivyo vifaa wanaofahamika kwa Kariakoo,
Ni kama akina Othman na Awale,
Bei wanazouzia wao hazikidhi kununua bulk ya kuja kuuza kwa jumla mkuu, nadhani wao sio agents.
Kama una Mawasiliano ya agents wa madaftari,
Tuwekee hapa Kama ulivyofanya kwa bidhaa zingine.
We pimbi nirudishe kwenye group la cohu.
Mkuu hilo swali la vocha mbona haujalijibu na pia naomba unipe muongozo wa biashara wa vitu vya jumla na machimbo yake ya kuuza vitu vya kariakoo mfano kofuli, soksi, compass, madaftar, pencel, raster, yebo, vioo, n. KWholesale fast movingView attachment 1804057
Ukihitaji vocha za jumla unaenda Tigo makao makuuMkuu hilo swali la vocha mbona haujalijibu na pia naomba unipe muongozo wa biashara wa vitu vya jumla na machimbo yake ya kuuza vitu vya kariakoo mfano kofuli, soksi, compass, madaftar, pencel, raster, yebo, vioo, n. K