Nitumie mbinu gani kurudisha penzi?

Nitumie mbinu gani kurudisha penzi?

Ndio kaka nilikuwa na mpango ,ila kana kiburi Sana sijui kwa sababu ya ufupi halafu mim mrefu? Nimejitahid kuvumilia
Halafu vibinti vifupi huwa vinakuwa vikorofi sana...

Sijui vile ubongo upo karibu na chemba ya nanihiii...
 
We endelea kumfaidi tu Kama anakupa uchi, ongeza ufundi atarudi.
 
Wakuu habari za asubuhi?

Amaan naombeni ushauri,wiki iliyopita nilifanya kosa nikaachwa na mpenzi wangu,nimemuomba msahama amegoma katakata kwamba hatuwezi kuendelea kuwa wapenzi tena, juzi tulikutana sehemu nikaomba mechi nikapewa,

Jana pia nilimuomba akanipa lakini bado kasimamia msimamo wake kwamba ashaniacha,nitumie mbinu gani kurudisha penzi? hivi unaweza kuachwa huku ukiendelea kupewa pa...chi?

Kuna njia nyingi za kumrudisha mwanamke lakini njia bora ya kumrudisha mwanamke fanya yafuatayo :

1.tafuta muda uzungumze nae na sehemu ya kuzungumza nae iwee tulivu hivyo omba appointment mzungumze

2.ukishakutana nae kitu cha kwanza tumia dakika nusu saa piga nae story kuhusu mpira kama hapendi mpira zungumza story zingine za uwongo na kweliii

3.Baada ya nusu saa kupita ongea nae lengo lako kuu la kuzungumza nae katika mazungumzo yako kitu cha kwanza omba msamaha kwa Yale yote uliyomkosea lakini pia zungumza nae umuhimu wake kwake zungumza mazuli yake kwako mwisho mwambie unahitaji nafasi yake kwake hivyo mpe muda wa kufikiria swala lako

4.Kama kweli anakupenda week haipiti utaonana Dalili za kurudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom