Naomba kuuliza ni taasisi au kampuni au mtu binafsi anaweza kutoa msaada kwa mtu aliepata admission ya kwenda kusoma diploma ya land suryey(GEOMATICS).
Kwa mkatabata ili badae aje afanye kazi kwake baada ya kumaliza chuo.
Tafadhali naomba kujulishwa..
Naomba kuuliza ni taasisi au kampuni au mtu binafsi anaweza kutoa msaada kwa mtu aliepata admission ya kwenda kusoma diploma ya land suryey(GEOMATICS).
Kwa mkatabata ili badae aje afanye kazi kwake baada ya kumaliza chuo.
Tafadhali naomba kujulishwa..
. namanisha nahitaji mtu au taasisi ya kunisponser nikasome
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.