hahahaFanya hivi....
Fikiria kila lililo baya kwake.
Kwa mfano, waza jinsi mdomo wake unavyonuka asubuhi...
Fikiria jinsi ushuzi wake ulivyo na harufu mbaya....
Fikiria jinsi kwapa lake lilivyo chafu...
Fikiria jinsi ambavyo chupi zake zina madoadoa ile sehemu inapokaa il nana...
Fikiria jinsi nywele zake za pua zilivyo nyingi kama babu wa Unguja...
Ukifikiria yote hayo kuhusu yeye lazima utamsahau tu.
Teh teh....damn! I'm so bad it ain't even funny.
I'm definitely going to he'll in a handbasket for this one.