Nitawezaje kuishi chuo bila mkopo, naombeni ushauri

Nitawezaje kuishi chuo bila mkopo, naombeni ushauri

Mapfa A

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2015
Posts
250
Reaction score
260
Msaada wenu wakuu maisha yamekuwa magumu sana hasa kuishi chuo hauna mikopo Msaada wenu wakuu kwa mliowahi kupitia mazingira haya.

Niko Ardhi Bsc.AF.
 
Msaada wenu wakuu maisha yamekuwa magumu sana hasa kuishi chuo hauna mikopo Msaada wenu wakuu kwa mliowahi kupitia mazingira haya. Niko Ardhi Bsc.AF.

Pole sana kijana...

maisha yanaweza kuwa magumu kwako MARA 2 kwa maana dr.lucian anaeendelea kuwafundisha bussiness mathematics wakati niko kwenye mikono ya yule mzee nilikuwa na zaidi ya 2 millions kwenye account za matumizi kabla sijawekewa lile boom la kwanza(we know mwaka wa kwanza zile hongera na care za family na siblings zinakuwa nyingi)

lakini nilikutana na kimbembe kwa jinsi walimu walivyocomplicate elimu...kina dr.lucian..dr.kapoli(r.i.p)na kina kipanga(law lecturer) na wengineo coz tulikuwa na 16fuckin independent courseskwa mwaka wa kwanza pekee.....nikajikuta mwaka wa kwanza umeisha bila kuenjoy rather than stress za test quiz na vitisho from our seniors na mark za namba za viatu(vya mtumba) kutoka kwa walimu wenyewe.....

i jus find out kuwa ela zimeisha at the end of 1st year na zijazienjoy vizuri coz of stress za school of real estate studies...lakini nimekuwa na friends ambao hawakuwa na mkopo pia na family status zao ziko chini n then managed to survive poa kabisa

but the thing iz ukitaka kusurvive vizuri bila mkopo n u got minimal family support kwa ardhi university inahitaji usiwe na tamaa...jus live a decent life..ka uko incampus hostelz u pendelea kwenda canteen za kwa baba frank na geti dogo.(kuna lower prices)playtime na baa mpya achana nako kabisa...

jitahidi kuhang out na watu mlio na similar status au wale wasio na mkopo pia ili usiwe unapata vishawishi vya matumizi,ka una friend wenye loan na familia bora make sure wanajielewa na wanajali about others..na wanaenda along na wewe...otherwise achana ...ka umepanga ofcampus na rafiki zako make sure mnapika apo geto...

matumizi yasizidi buku 3 per day(inawezekana,am talking from experience)...tune mind yako in a way that gud tym kwako iwe kuangalia movies..kucheza computer games(ka una interest) like fifa with friends na sio kutoka during weekends ....nenda home or kwa ndugu during weekends(kama wapo)itakusaidia kuepuka vishawishi vya kichuochuo..

KIKUBWA KULIKO VYOTE DEDICATE MOST Of ur Time on STUSYING...afterall kwa bsc. in account n finance ina vitu vingi sana ambayo ukisema ufanye thorough covering,muda hautakutosha ata wa kupumzika...so jikeep buzy n buzy kwenye kusoma n siku zitakuwa zinakimbia...u will soon find out umemaliza mwaka watu...(its one among shortest programmes at ardhi).

All the best.
 
Thanks bro Dr. lucian tuko nae Tunasubiria RESULTS. pia mkuu m nipo ghetto Makongo life langu liko simple sana ila najibana sana bt kutokana na low status za wazaz some time hata copy nashindwa bt nikukaza moyo. Shida sana #mossad 03
 
Msaada wowote hata ushauri Perry,
 
Last edited by a moderator:
Ishi kulingana na kipato chako tu, usiwe na tamaa ya mambo makubwa tena ambayo hata ukiyakosa hayakupunguzii chochote katika maisha yako.
 
Msaada wenu wakuu maisha yamekuwa magumu sana hasa kuishi chuo hauna mikopo Msaada wenu wakuu kwa mliowahi kupitia mazingira haya. Niko Ardhi Bsc.AF.

Lakini pia vipi uliappeal heslb?jaribu kuappeal maana ardhi ni among vyuo vinavyopewa sana mikopo na hata wale waliokosa wakiappeal wanapewa...jaribu kuappel tena na tena hata pale unapoingia kwaka wapili...

Kuna friends zangu wengi walikuja kupewa mkopo mwaka wa pili semister ya pili....na wakapewa zote kwa pamoja(more than 1.5 million)wakazitumia walivyotaka wao.

Tafuta referee bodi pia ka anaweza patikana..utakuwa na guarantee zaidi... ka hauna access jus keep faith n appeal ivyoivyo
 
Msaada wenu wakuu maisha yamekuwa magumu sana hasa kuishi chuo hauna mikopo Msaada wenu wakuu kwa mliowahi kupitia mazingira haya.

Niko Ardhi Bsc.AF.

sijajua uko tighty kiasigani,tafuta shule uwe unafndisha part time kwa masomo ya biashara/hesabu utapata ,itakuboost,kuwa makini isiingilie ratiba yako ya shule,all the best!
 
sijajua uko tighty kiasigani,tafuta shule uwe unafndisha part time kwa masomo ya biashara/hesabu utapata ,itakuboost,kuwa makini isiingilie ratiba yako ya shule,all the best!

kwa ratiba ya ardhi hasa school aliyopo mleta mada(school of real estate studies)ni ngumu sana kufanya part time yeyote hasa ukiwa mwaka wa kwanza na wa pili...ratiba ni tight sana na ipo illegural...means huwezi fanya part time yoyote iliyo na fixed timetable au utayokuwa chini ya mtu...japo anaweza kujaribu but itamsumbua sana na itaingiliana na masomo yake ya chuoni
..
 
Hapa Arthi kuko tightvsana coz huwa nakuwa na vipindi siochini ya vinne per day. some time mpaka saa2 usiku ratiba imebana. Then kuhusu Appeal nilifanya hvo pia niliambatanisha hadi nyaraka za Mahakama kuwa sina uwezo . Kuhusu kuwa na mtu HESLB sina kka. m nimetoka zangu bushi Kagera.So sina ninaye mfahamu huko#mossad & blesed
 
Hapa Arthi kuko tightvsana coz huwa nakuwa na vipindi siochini ya vinne per day. some time mpaka saa2 usiku ratiba imebana.

Then kuhusu Appeal nilifanya hvo pia niliambatanisha hadi nyaraka za Mahakama kuwa sina uwezo . Kuhusu kuwa na mtu HESLB sina kka. m nimetoka zangu bushi Kagera.So sina ninaye mfahamu huko#mossad & blesed

duh!pole sana mkuu,zid kugangamala utatoka tu!
 
Thanks bro Dr. lucian tuko nae Tunasubiria RESULTS. pia mkuu m nipo ghetto Makongo life langu liko simple sana ila najibana sana bt kutokana na low status za wazaz some time hata copy nashindwa bt nikukaza moyo. Shida sana #mossad 03

Ushauri huu uliojipa ni suluhisho tosha!
 
Pole sana rafiki, mm nimehitimu mwaka jana UDSM. Niliingia mwaka wa kwanza na tatizo kama lako. Nili appeal haikusaidia. But mwaka wa pili niliomba tena na kufanikiwa. Hivyo uckate tamaa. Nipe namba yako kama hutojal tuwacliane kwa msaada wa maelezo zaidi.
 
Kaka pole sana kwa janga hilo Mungu akusaidie mi nimehitimu UDSM {2011-2014} Nilkua jirani kabisa na ww apo Ardhi!! mimi mkopo nilipata ila niliishi Rum na watu ambao walikosa kwa kweli wali appeal mwaka wa kwanza ule wakakosa...

Ila mwaka wa pili walijaribu wakapata!! so kama umekosa sasa hivi usikate tamaa jikaze tu..... then jaribu tena mwaka wa pili nina imani utapata coz continuous students hua wanapewa kipaumbele....

Kuhusu Life jitahidi kujibana kama umepanga basi panga karibu na chuo ili kuepusha gharama za usafir, pia komaa upate hostel za ndani pale Ardhi zipo.... Akili yako usiiache ilemaee kwa maisha magum utayopata bali jipe moyo na jitaid kua na matumaini kaka..

Kuna jamaa juu alikoment maelezo ya kutosha kabisaa nadhan naomba uzingatie jiepushe na stareh n bata.... waachiee watoto wa kishua... we kula desa kaka Mungu si Athuman utatoka tu ila usiache kuapply mkopo ukifka mwaka wa pili!
 
Wanawake hawacomment hapo kwa sababu wana mbinu zao za kuishi bila boom.
 
Pole sana rafiki, mm nimehitimu mwaka jana UDSM. Niliingia mwaka wa kwanza na tatizo kama lako. Nili appeal haikusaidia. But mwaka wa pili niliomba tena na kufanikiwa. Hivyo uckate tamaa. Nipe namba yako kama hutojal tuwacliane kwa msaada wa maelezo zaidi.

0768 765322. 0659530903. Ndiyo hiyo mkuu.
 
Mr Adam Gella,

Poa mkuu mi life langu najibana sana nili appeal ngoja nisubir majibu bt m najitahidi kukomaa mkuu.

Ahsante kwa uxhauri.
 
Last edited by a moderator:
Ukishindwa kabisa piga chini chuo then ukatafute pesa maana elimu haina mwisho ata uzeeni utasoma... kuna tajiri mmoja ambaye kawakomboa wa tanzania kwa kuonyesha soka la madafu yeye huenda atasoma uzeeni lakini mapesa anayo... ila changanya na zakwako.
Mithali 4:13
 
kubali huna, na ridhika na ulichonacho. Haya maisha hata mimi niliwahi kupitia, kiukweli kuna siku nilikuwa chuo sina pesa kabisa na friendz wote nimeshawakopa mpaka basi, ilikuwa jioni ya saa moja napita njia ya maktaba sina kitu kabisa yani hata senti, nikawa napandisha nikamkope mama ntilie, Ee bana ee! sikuamini, Si nikaokota book moja, daah Nilitaja Jina La Mungu on spot bila kumfikiria aliyedondosha.

So kiufupi ni kwamba maisha ya aina hii yanakufanya usome kwa bidii sana na usiwe na muda wa kupoteza. Nakushauri kaza buti. But kama ukipata wanafunzi wa tuition Bongo hii, pia watakuboost. But sikushauri uwalaumu wazazi hata kidogo, kwa sababu wamefanya kazi kubwa sana kukufikisha hapo ulipo, Jitahidi kuwaombea Baraka uje uwalee....

IF YOU WERE BORN POOR IT IS NOT YOUR FAULT, BUT IF YOU DIE POOR IT IS ALL YOUR FAULTS....BIL GATES
 
Msaada wenu wakuu maisha yamekuwa magumu sana hasa kuishi chuo hauna mikopo Msaada wenu wakuu kwa mliowahi kupitia mazingira haya.

Niko Ardhi Bsc.AF.

Kaza buti mdau, mi nimesoma bila mkopo UDSM waka 2011-2014, nimemaliza, mama alikuwa anauza maandazi na baba alishaendaga kula mchanga tangu nilipokuwa form four.

Ushauri kaa sana na wana, mimi nilikuwa napigwa support na washkaji had nilipopata demu wa kizungu mwaka wa tatu nikawa nimesahau shida.

Ila mwaka wa kwanza na wa pili nilienda kwa mfanyabiashara maarufu akanilipia ada ya miaka miwili. Mungu amjalie ni Mzee anaitwa Zakaria pale kitumbini. kama vipi npm i have his number though kumuona ni kama unataka kumuona Bakhresa, You know what it takes... foleni sana.

Ila wana wamenipa support sana, I appreciate my friends at Univ of DSM.
 
Back
Top Bottom