Guy Isaac
Senior Member
- Aug 10, 2019
- 126
- 60
Mimi ni mwananfunzi wa mwaka wa 2, nasoma Kozi ya Bachelor's in B'ness Administration(BBA). Ningependa kushare nanyi katika hili.
Naomba kufahamu briefly au shortly, naweza kusoma Master's ya Finance Endapo nikigraduate degree yngu? Na je, itachukua mda gani? Nitashukuru kwa comment yko juu ya hili.
Mungu atakubariki pia.
Naomba kufahamu briefly au shortly, naweza kusoma Master's ya Finance Endapo nikigraduate degree yngu? Na je, itachukua mda gani? Nitashukuru kwa comment yko juu ya hili.
Mungu atakubariki pia.