Menorrhagia....aende hospitali atibiwe
ndo umeandika nini hapo...?hamna ukweli. ikianza kushuka lazima uihisi basi litoka mimba huyo
uongo mtupu.yaani hadi ulowane usihisi kitu ? hakunaga
uongo mtupu.yaani hadi ulowane usihisi kitu ? hakunaga
uzuri wa damu bwana ikianza tu lazima utahisi k imekuwa nzito ..so lazima ukajicheki toileti yaani haiwezekaniki hadi mtu ulowane chapachapa bila kujua ,,,hata harufu si itatoka sasa kama ni kuloa..
Naona kuna wengi inawatokea, kwasababu nilimshtukia mwanafunz wangu wa kike nlimsimamisha akanitumbulia macho tu nkajua ndio yaleyale, nikawatoa wenzake nje af nkamshtua madam akamsaidia.
Pia kuna dada mmoja siku moja alishtuliwa na mama wa mtaani alipomuana kachafuka au sijui alijua alichukulia poa!
uzuri wa damu bwana ikianza tu lazima utahisi k imekuwa nzito ..so lazima ukajicheki toileti yaani haiwezekaniki hadi mtu ulowane chapachapa bila kujua ,,,hata harufu si itatoka sasa kama ni kuloa...
uongo mtupu.yaani hadi ulowane usihisi kitu ? hakunaga
Umeonaeee.Alafu siku ya kwanza inaanza tu kutoka iwe nyingi kiasi hicho.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
mimi si mwanamke lakini kibiolojia inawezekana,kumbuka unahisiana kwa sababu mfumo wa kuhisi unafanya kazi sawasawa lakini kama kuna tatizo huwezi kuhisi kirahisi,hujawahi kusikia unaweza kuugua na mfumo wa taarifa ukapoteza uwezo kiasi cha hata kuangukia na moto usijue mpaka uungue zaidi,pia inategemea na yeye mazingira aliyokuwepo ndio mana wakati mwingine kinatokea kitu unakuwa kama unahisi kwa mbali lakini usijue kama nini mpaka macho yaone