Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
Mimi binafsi nathubutu kusema ni raia mwema, sijawahi kuwa na kesi Wala kushtakiwa kwa chochote tokea nizaliwe pamoja na kukulia mazingira hatarishi Kinondoni Manyanya.
Mimi nipo pamoja na mama, na pale ntapoona hakupo sawa nitaandika humu, Sina namna nyingine ya kumfikishia lengo kubwa ni aelewe mambo yanayotokea huku mtaani ili achukue hatua haraka mambo yakae sawa.
Hapo nyuma Serikali ilifanya jitihada kubwa Sana kuhakikisha kila kituo Cha mafuta kinatoa risiti za electronic na walifungiwa mfumo huo wa risiti kila kwenye pump machine( risiti zinatoka automatically).
Lakini nimestaajabishwa na nilichokiona Jana, risiti hazitoki tena automatically kwenye petrol station niliyoenda , eti mfumo umeharibika, sasa mbona mauzo yanaendelea? Serikali itapata wapi kodi stahiki kweli?
Kwa nini wasisimamishe huduma mpaka watapotengenza machine ya risiti?
Mama tuma vijana wako field wafanye ukaguzi na wasaidie machine zitengenezwe ili Kodi stahiki ya serikali ipatikane.
Wafanyabiashara chondechonde tusianze kumhujumu mama, ameonyesha busara kubwa kwenye kudai Kodi basi na sisi tutimize wajibu wetu wa kulipa bila kubugudhiwa.
Tukiendelea na haya tutamkwamisha mama, maana Kodi itapatikana kidogo na atashindwa kuendeshea vizuri serikali.
#mama Samia kanyaga twende# kazi iendelee#
Mimi nipo pamoja na mama, na pale ntapoona hakupo sawa nitaandika humu, Sina namna nyingine ya kumfikishia lengo kubwa ni aelewe mambo yanayotokea huku mtaani ili achukue hatua haraka mambo yakae sawa.
Hapo nyuma Serikali ilifanya jitihada kubwa Sana kuhakikisha kila kituo Cha mafuta kinatoa risiti za electronic na walifungiwa mfumo huo wa risiti kila kwenye pump machine( risiti zinatoka automatically).
Lakini nimestaajabishwa na nilichokiona Jana, risiti hazitoki tena automatically kwenye petrol station niliyoenda , eti mfumo umeharibika, sasa mbona mauzo yanaendelea? Serikali itapata wapi kodi stahiki kweli?
Kwa nini wasisimamishe huduma mpaka watapotengenza machine ya risiti?
Mama tuma vijana wako field wafanye ukaguzi na wasaidie machine zitengenezwe ili Kodi stahiki ya serikali ipatikane.
Wafanyabiashara chondechonde tusianze kumhujumu mama, ameonyesha busara kubwa kwenye kudai Kodi basi na sisi tutimize wajibu wetu wa kulipa bila kubugudhiwa.
Tukiendelea na haya tutamkwamisha mama, maana Kodi itapatikana kidogo na atashindwa kuendeshea vizuri serikali.
#mama Samia kanyaga twende# kazi iendelee#