Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,473
- 19,269
kuna uwezekano mapato yakapungua sana, hakuna mtu hapa duniani ambaye huwa anapenda kulipa kodi kwa hiari, amini usiamini, hata mimi sitalipa kodi kama ni kwa kubembelezana.
Kodi unatakiwa kulipa kwa mabavu, ukijua kuwa usipolipa kinanuka. tunahitaji hela za kuendeshea nchi na kufanya maisha yawe bora kwa wananchi wetu.
Kodi unatakiwa kulipa kwa mabavu, ukijua kuwa usipolipa kinanuka. tunahitaji hela za kuendeshea nchi na kufanya maisha yawe bora kwa wananchi wetu.