kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,318
- 12,622
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?
Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.
Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.