bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
CCM hoyee. Magufuli Safi.
Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.
Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.
Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo
Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.
Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.
Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough
Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.
Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.
Tuonane Oktoba.
Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.
Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.
Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo
Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.
Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.
Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough
Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.
Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.
Tuonane Oktoba.