NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Magufuli kwa tathmini fupi tu mpaka sasa atashinda kwa zaidi ya 95%.
Ngojeni kipenga kipulizwe, mbona mna kiherehere kama kuku anayetaka kutaga?Why wapinzani mnapenda sana kutumia matusi kama defence mechanism yenu..wekeni sera imara kama zetu na Sio Blaa blaa
Ajira za afya n nyingi sana zimetoka.Cha ajabu hapo kwenye afya, vituo vya afya 5,000 vimejengwa na kukarabatiwa nchi nzima lakini hakuna ajira za afya zilizotoka sasa sijui zinahudumiwa na malaika.
Kwanini hamu wenu wazi namba ya vituo vipya vilivyojengwa na vilivyokarabatiwa?
Utaelewa tu 28 OctoberNdugu Mjumbe mbona unanifokea sasa,Punguza jazba
Wapinzani bana yani kwa sera zip labda tuwape nchi?
Ungejua niko idara gani? Wala usingeandika hivyo, hivi hao watangulizi wake wangekuwa Kama Meko si ingekuwa kero, wamefanya makubwa kwa nchi wametulia tu, tatizo wachumia tumbo ndio mnazingua tuTushawazoea wapinzani hapo Kelele Mobb utakuta hata kitambulisho cha mpiga kura huna
Hao watanguliz wake walifanya nini mjumbe,Magu kafanya mambo magumu na mazito kumkalisha mzungu tu kwa ile ishu ya makinikia sio mchezoUngejua niko idara gani? Wala usingeandika hivyo, hivi hao watangulizi wake wangekuwa Kama Meko si ingekuwa kero, wamefanya makubwa kwa nchi wametulia tu, tatizo wachumia tumbo ndio mnazingua tu
Ntamshangaa Mtz anayepigwa na jua la kwenye foleni ati kumpigia kura mpinzani.Kuchagua upinzani hakuna ajabu yoyote. In suala LA utashi was mpiga kura. Siyo lazima kila MTU apende unachopenda. Heshima hiyo unayosema imerudi ilipotezwa na nani kama siyo hiyo hiyo CCM unayoinadi.
Cha ajabu hapo kwenye afya, vituo vya afya 5,000 vimejengwa na kukarabatiwa nchi nzima lakini hakuna ajira za afya zilizotoka sasa sijui zinahudumiwa na malaika.
Kwanini hamu wenu wazi namba ya vituo vipya vilivyojengwa na vilivyokarabatiwa?
Huna akili timamuNtamshangaa Mtz anayepigwa na jua la kwenye foleni ati kumpigia kura mpinzani.
Haya mabanda mbona tumeambiwa yameshaishaUkitaka kufuga kuku.. unaanza kujenga banda au unaanza kununua vifaranga?