Nitarudisha kadi ya CHADEMA haraka sana...

Nitarudisha kadi ya CHADEMA haraka sana...

mnafiki ni mm au wewe na akina mbowe wako? Kama analipwa mshahara na chama (uwenyekt wa) ,selikali (ubunge), na bado anapokea pesa za akina rostam, mkono, lowasa, n.k. Kukihujumu chama, uzalendo wake uko wapi? Kiongozi gani ananyamazia matatizo ya wananchi kama vile kupanda kwa bei za usafiri, umeme, n.k? Kiongozi gani wa chama kinachotaka ridhaa ya wananchi kuingia ikulu huku akikaa kimya kuhusu wabunge kujilipa kinyemela 16o milion?
Mtaji wake ni upi kama anapuuza haya? Aibu yenu wahafidhina> hasara yenu kisiasa.

Sasa nimekujua. wewe wala sio na hujawahi kuwa CDM. Buku 7 timu at work. Nenda kashike kuta za waarabu uko,tuachie CDM yetu.
 
Wasema ukweli siku zote hawapendwi Babaakubwa
 
huwezi shindana nampango wa mungu, chadema nimpango wa mungu

padri anawapumbaza kuwa cdm ni mpango wa mungu huku anatembea na rat-rat ya kummaliza zitto!

Mbowe anawakengeusha kuwa cdm ni mpango wa mungu huku anatamka wazi kuwa yuko tayari `kuzichapa' ili mradi malengo yake kisiasa yatimie!

Pole sana kwa upofu wa mawazo uliosababishiwa na nabii wenu,padri mvunja ndoa za watu#
 
Sasa nimekujua. wewe wala sio na hujawahi kuwa CDM. Buku 7 timu at work. Nenda kashike kuta za waarabu uko,tuachie CDM yetu.

Hakuna cha buku 7 wala 8 na Kama zipo basi zinatolewa na Mbowe na slaa kwani pamoja na Ufujaji wao wa pesa za Chadema na Vioja vya Unzinzi Viti maalum kupora wake za watu Kuendekeza Ukabila vitisho kwa wanachama wanaothubutu kuwakosoa kutokana na Vitendo vyao Binafsi na kulazimisha viwe ajenda za Chama Kisha kusaka Huruma za Wanachama Vipofu ( Nyumbu) ambao pasipo kujitambua wanakesha wakiwatetea bila kuwahoji Matokeo yake Mbowe sasa anatafuna pesa za misaada na Ruzuku bila wasi wasi na atakuwa M/kiti hadi anatimiza miaka 100 Kama marehemu bi kidude . Tambua Mbowe ni Simba na Wanachama wake Nyumbu wanaswagwa Kama apendavyo.
 
Chadema haijawahi kumpa kadu mbumbumbumzunguwareli kama wewe so hauna kadi zaidi ya ile ya magamba. Boflo kabisa wewe.
 
R.I.P chacha wangwe huyu ndiye Mtu pekee aliyepata kuwahi kumchana Live Mbowe kwa kumwambia Madhambi yake yote juu ya matumizi mabaya ya pesa za chama ukabila na ubabe usiokuwa wa lazima lakini kabla hajatimiza Adhima yake Akafariki Siri Anayo Mungu na Deus Malya . Nina uhakika Hakuna mtu mwingine ataweza kuthubutu kumsogelea Mbowe kuhoji mapungufu yake .
 
hakuna cha buku 7 wala 8 na kama zipo basi zinatolewa na mbowe na slaa kwani pamoja na ufujaji wao wa pesa za chadema na vioja vya unzinzi viti maalum kupora wake za watu kuendekeza ukabila vitisho kwa wanachama wanaothubutu kuwakosoa kutokana na vitendo vyao binafsi na kulazimisha viwe ajenda za chama kisha kusaka huruma za wanachama vipofu ( nyumbu) ambao pasipo kujitambua wanakesha wakiwatetea bila kuwahoji matokeo yake mbowe sasa anatafuna pesa za misaada na ruzuku bila wasi wasi na atakuwa m/kiti hadi anatimiza miaka 100 kama marehemu bi kidude . Tambua mbowe ni simba na wanachama wake nyumbu wanaswagwa kama apendavyo.

mkuu unaona mbali sana tena sana.
Zamani cdm ilikuwa na vijana wanaoweza kupambanua pumba na mchele--- lakini sasa wamekengeushwa na mahubiri ya padri muasi wamebaki kushabikia bila kuhoji-hajitambui kabisa!


Ukitoa wazo zuri lililokinyume na maslahi ya mme wao mbowe, wanatokwa na fahamu na kuanza kutukana hovyo. Ni zaidi ya nyumbu!
 
"Ikitaka kunyesha si lazima isubiri mawingu" Hakuna haja ya kusubiri mgombea binafsi wapige chini sasa hivi.
 
Mbowe ni Simba anaogopwa sana na wanachama wa Chadema Ana zile kamati zake za kumtetea yaani cc Pia kamati ya kumlinda na fitna kwa wale wanachama wanaozinduka hii ni kamati inayopenya sana kila kona wapo hii inaongozwa na Rwakatare akisaidiwa na akina Kileo , Mrema na Deus Malya Hawa wamebuni mbinu za ajabu za kuhakikisha Mbowe haguswi hata afanye madhambi gani ukithubutu kuhoji tu unavuliwa Uanachama Chezea Mbowe wewe.... R.I.P chacha wangwe
 
sera ipi ya cdm unayoifahamu? Kinaitwa ... Cha demokrasia ,hakuna demokrasi ndani yake bali ubabe, udikteta wa kubadili katiba kutawala bila kikomo... Shame upon you!

Kama unalijua hilo ulibaki kufanya nini hadi leo? Chadema siyo Mungu wako.
 
padri anawapumbaza kuwa cdm ni mpango wa mungu huku anatembea na rat-rat ya kummaliza zitto!

Mbowe anawakengeusha kuwa cdm ni mpango wa mungu huku anatamka wazi kuwa yuko tayari `kuzichapa' ili mradi malengo yake kisiasa yatimie!

Pole sana kwa upofu wa mawazo uliosababishiwa na nabii wenu,padri mvunja ndoa za watu#

hujitambui gamba wewe! cdm hatunaga wapumbafu kama wewe mchumia tumbo!
 
Toka nizaliwe sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa tofauti na CHADEMA.

Nilijiunga chadema mwaka 2000 na nimefanya makubwa ktk chama kwenye eneo langu: Kwa mchango wangu na wengine, CHADEMA imekuwa ikishinda toka ngazi ya kitongoji hadi rais: Tulinyakua vitongoji vitatu kati ya vinne, m/kiti wa serikali ya kijiji,diwani na mbunge hata mgombea urais wa CHADEMA dr. Slaa alimshnda Kikwete ktk ngazi ya kijiji changu, kata yangu, tarafa na wilaya niliko. Japo mchango huu kwa wahafidhina ni upuzi mtupu!

Ninaipenda CHADEMA kuliko Mbowe,Slaa,Lema, lissu na wengineo kwani mimi katk kazi na mchango wangu kwa CHADEMA sijawahi kulipwa wala kukopeshwa na saccos ya cdm. Ni bure! Ila Mbowe, Slaa n.k wanalipwa mishahara, wanajilipa posho, wanajikopesha bila riba pesa ya chama, na pia wanachukua hongo kwa mafisadi n.k!!

Siku katiba ikiridhia mgombea binafsi nitarudisha kadi ya CHADEMA. Inauma kuona CHADEMA imesimama kwa jasho la wanyonge, halafu wakubwa wamekigeuza kuwa mradi wao na vimada wao!
Ni hatari sana!
0766353543

Wewe ni jinga kubwa; ungetekeleza maamuzi yako bila kungoja katiba. Hiyo unayoiita saccos umeijua leo?
 
padri anawapumbaza kuwa cdm ni mpango wa mungu huku anatembea na rat-rat ya kummaliza zitto!

Mbowe anawakengeusha kuwa cdm ni mpango wa mungu huku anatamka wazi kuwa yuko tayari `kuzichapa' ili mradi malengo yake kisiasa yatimie!

Pole sana kwa upofu wa mawazo uliosababishiwa na nabii wenu,padri mvunja ndoa za watu#

Toa usengerenyuma wako hapa! maccm yajiongezee pension hadi mil 160,wewe na vichaa wenzio muilaumu cdm??? nimeamini kweli CDM ndio inaongoza dola kwa sasa!! ccm imebaki kivuli tu!
 
Toka nizaliwe sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa tofauti na CHADEMA.

Nilijiunga chadema mwaka 2000 na nimefanya makubwa ktk chama kwenye eneo langu: Kwa mchango wangu na wengine, CHADEMA imekuwa ikishinda toka ngazi ya kitongoji hadi rais: Tulinyakua vitongoji vitatu kati ya vinne, m/kiti wa serikali ya kijiji,diwani na mbunge hata mgombea urais wa CHADEMA dr. Slaa alimshnda Kikwete ktk ngazi ya kijiji changu, kata yangu, tarafa na wilaya niliko. Japo mchango huu kwa wahafidhina ni upuzi mtupu!

Ninaipenda CHADEMA kuliko Mbowe,Slaa,Lema, lissu na wengineo kwani mimi katk kazi na mchango wangu kwa CHADEMA sijawahi kulipwa wala kukopeshwa na saccos ya cdm. Ni bure! Ila Mbowe, Slaa n.k wanalipwa mishahara, wanajilipa posho, wanajikopesha bila riba pesa ya chama, na pia wanachukua hongo kwa mafisadi n.k!!

Siku katiba ikiridhia mgombea binafsi nitarudisha kadi ya CHADEMA. Inauma kuona CHADEMA imesimama kwa jasho la wanyonge, halafu wakubwa wamekigeuza kuwa mradi wao na vimada wao!
Ni hatari sana!
0766353543

team zitto kitila bana sizitaki mbichi hizi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mtoa mada naona povu limekutoka kweli,embu nikuulize aliyetoa huo ujumbe ninani je anawadhifa gani ndani ya chadema,huyo aliyesambaza ujumbe huo mi nionavyo ni maoni yake,watu wanaweza wa kayachukua ama wakayapuuzia,na hata wewe uliyeingiza mambo ya uchochezi kwa kuzihusisha taasisi za kidini humu ni maoni yako tu watu wanaweza wakayachukua ama wakayapuuzia,sioni tofauti kati yako na huyo aliyesambaza huo ujumbe wa kazi za wasanii zisinunuliwe au wewe umeona umeongea kitu cha maana hapo,kumbuka hiyo kadi ya chama chako unayotaka kuichoma imegaramiwa na fedha za walipa kodi ambao wengi wao ni walipa kodi tena wenye vipato vya chini, kila mtanzania anayo haki ya kutoa maoni yake kikatiba,rejea ushindi walioupata akina Samson Mwigamba na makunga walipoambiwa wameandika habari za uchochezi ya kuwa police wakiuke maagizo ya wakubwa wao,ila mahakama ilitoa haki,kwamba yale yalikuwa ni maoni yao na katiba inaeleza wazi,kila mtu anauhuru wakutoa maoni yake,mi ninacho kushauri uwe unaleta mada zenye kujenga na sio mada zenye chuki na uchochezi,
 
Back
Top Bottom