binadam ni wabaya kuliko wanyama swty . Ukizingatia wezi wa Arusha wote wana silaha kali lazima tujihami . Nategemea kuongeza na mabomu ya kurusha kwa mkono.
Nitashukuru mkuu, tena nataka ya kichina maana mlio unaweza kumzimisha aduiNipo kibondo kimatembezi nitafute!!
Mkuu nipo hapa bongo kwa mababu
Kwa hivo wewe ni Mtz halisi?
Malima alikuwa na SMG na sio AKalashnikov 47...
Sijui sheria kama imebadilishwa lakini mtu binafsi mara nyingi hawaruhusu kumiliki Machine Gun, hasa iliyo automatic kama AK 47. Na hata hii ya Malima kuwa na Sub Machine Gun inahitaji maelezo kutoka kwa poliCCM kama ni halali ingawa wataturubuni kuwa ni halali
kuna ishu ya majambazi ilitokea Arusha....siku hiyo ndio niliamini tunahitajika kupaki vifaru uwani....
Jamani hii mashine ndiyo malima anatembea nayo kwenye begi.
AK47
AK47
wakuu njooni huku arusha mtapata zakiejeji.huku zinatengenezwa
hi unaweza kupigwa risasi tano na ukapona . Ila shortgun ukipigwa moja lazima urudi kwa muumba.
siraha = silaha!acha hasira mkuu!
Tafuta manati tuu,hiyo ndio siraha ya mlala hoi.
ndugu, mimi huwa natembea usiku kutokana na majukumu yangu binafsi. Nataka kupata ak 47 kwa sababu maadui wanaweza kuja na silaha nzito. Mimi najali sana uhai wangu naomba anayejua utaratibu wa kupata hiyo bunduki kama ile ya malima. Mwanzoni nilidhani ni majeshi katika nchi hii yanaruhusiwa kumiliki kumbe hata sisi raia tunaruhusiwa?tafadhali naombeni utaratibu ili nipate moja.
mtambo wote huu halafu bado kaibiwa hadi nguo za ndani a.k.a chupi? Kweli nimeamini ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovuAK47
hi unaweza kupigwa risasi tano na ukapona . Ila shortgun ukipigwa moja lazima urudi kwa muumba.
Kwa hivo wewe ni Mtz halisi?