Nitapata wapi ramani za nyumba Dar?

Nitapata wapi ramani za nyumba Dar?

mdau wetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2011
Posts
548
Reaction score
61
Wna JF nisaidieni, nipo dar nina shida na ramani ya nyumba, nitapata wapi? naomba msaada wenu
 
Unataka ambazo zimeshachorwa tayari au unataka Archtect acheck site yako achukue idea zako achanganye na za kwake then akutolee nyumba unayohitaji wewe. Kama ndivyo ni PM nikuunganishe kwa Archtect (Designer na mchoraji wa ramani za nyumba). Nimesema uni PM maana sio mimi, so nitahitaji kujiridhisha kuwa upo serious. Si kila mtu hapa jamvini yupo serious.
 
Call no 0715865544 utapata bila longolongo! Ndo uzur wa jf ni zaidi ya huduma ya jamii!
 
Wna JF nisaidieni, nipo dar nina shida na ramani ya nyumba, nitapata wapi? naomba msaada wenu
Nenda pale Millenium Makumbusho kuna internate cafe inaitwa Stambuli karibu na Steers kuna architecture mmoja mkali anaitwa Kevin Mosha huwa mara nyingi anakuwa hapo kwenye benchi la nje kwenye hiyo cafe akifanya vitu vyake
 
Nenda pale Millenium Makumbusho kuna internate cafe inaitwa Stambuli karibu na Steers kuna architecture mmoja mkali anaitwa Kevin Mosha huwa mara nyingi anakuwa hapo kwenye benchi la nje kwenye hiyo cafe akifanya vitu vyake


architecture gani anashinda nje ya internet cafe mshauri vizuri usimuuzie mbuzi kwenye gXXXXA
 
asante kwa ushauri wako, nimetembelea na kuona nyingi tu tena anuwai kwa anuwai
 
architecture gani anashinda nje ya internet cafe mshauri vizuri usimuuzie mbuzi kwenye gXXXXA
Kaka kwanini nimshauri vibaya kama huamini hebu google huyo jamaa ndio utaona kazi zake au nenda pale chuo cha ardhi kaulize hilo jina,pia kwa taarifa yako usione watu wanashinda pale wale karibu wote wana proffesional zao na wana kazi zao za nguvu,nadhani umetembea duniani,watu huwa na sehemu mbali mbali za kukutania mbali ya ofisi zao ikiwemo kwenye mikahawa ambayo huwa never miss kuwakosa
 
Lakini pia kabla hujachagua ramani lazima iendane na site. Mimi sio mtaalamu wa hivyo vitu lakini hizo ni ABCs ambazo layman yoyote anatakiwa azijue.
 
Utapata kwangu very cheap: kuanzia 200,000Tsh
Call 4 details: 0654-445368
 
Utapata kwangu very cheap: kuanzia 200,000Tsh
Call 4 details: 0654-445368
 
kama uko serious unaweza fika hapa chuo cha Ardhi au tuwasiliane kwa namba 0783838338 maswala ya bei tutaelewana..
Kazi njema
 
Kuna jamaa mmoja ndo kazi zake hizo, wala hana hata bei, anakuchorea raman pamoja na kukutolea picha kana kwamba nyumba ndo ishajengwa ikapigwa picha kwa 150,000/=, mtafute kwa 0715 562 499
 
kama uko serious unaweza fika hapa chuo cha Ardhi au tuwasiliane kwa namba 0783838338 maswala ya bei tutaelewana..
Kazi njema

Helo email yangu ni kassimkaurly@yahoo.com
 
Back
Top Bottom