Ronzobe B29
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 242
- 89
Wanajanvi natumaini mu-wazima wa afya lakini pia pole nyingi ziende kwa wale wanaojisikia vibaya
Kama kichwa cha uzi hapo juu, Natafta malighafi zifuatazo nitazipata sehemu gani kwa mwanza au kama kuna mtu anajihusisha na hivi vitu naomba tuwasiliane au uweke hapa kwa faida ya wengine pia.
Na ikiwezekana uweke na bei ya kila kimoja mfano kilo au lita
1. Magadi soda
2. Mafuta ya mawese
3. Mafuta ya mosa
4. Glyceline
5. Rangi ya kijani
Nitashukuru sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa cha uzi hapo juu, Natafta malighafi zifuatazo nitazipata sehemu gani kwa mwanza au kama kuna mtu anajihusisha na hivi vitu naomba tuwasiliane au uweke hapa kwa faida ya wengine pia.
Na ikiwezekana uweke na bei ya kila kimoja mfano kilo au lita
1. Magadi soda
2. Mafuta ya mawese
3. Mafuta ya mosa
4. Glyceline
5. Rangi ya kijani
Nitashukuru sana
Sent using Jamii Forums mobile app