dk luis
Member
- Nov 20, 2017
- 20
- 3
Habarini za saizi wadau wote wa JF nilikuwa napenda wenye uelewa wanielekeze je unaweza ukachukua uhamisho veta Mara tu ya kuanza masomo namaanisha nilifanya mtihani wa usaili mwaka na matokeo hayajatoka kwa sasa natarajia kuhama DSM je nikibahatika kuchaguliwa nikaenda kuomba uhamisho watanikubalia