Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,157
Ukishindwa kuoa, fanya kinyume chake.
We ulishajaribu??
Ukishindwa kuoa, fanya kinyume chake.
refer red text????????????
Nichukue mimi. . .
Umri 35. . .
Watoto watatu. .
Sina mcumba wala mume!!!
unaonaje nikikuchukua,
umri 25..
kuna binti ana mimba yangu...
Sina mchumba wala mke!!!
Nichukue mimi. . .
Umri 35. . .
Watoto watatu. .
Sina mcumba wala mume!!!
Kudadaadek........ umri wangu unakaribia miaka 38, sina hata mchumba wala mtoto wa kusingiziwa. Hivi ninaweza kweli kupata patna wa kuoa? nakaribia kukata tamaa. Lakini ni lazima kuoa?. But I think I need some one in my life. Will some one be interested to rescue me? please communicate with me
ha!ha!haaaaaaa......... wakati fulani nahisi kuwa na enjoy zaidi kwa kupiga mavyomboz, but sometimes napigwa maswali kibao kutoka kwa ndugu na jamaa kwamba kwa kutokuwa na mke heshima yangu eti inashuka
K'mbute umenena true, labda hajui kama Panya alikuwa mkubwa kuliko Tembo kabla hajaoa, dhoruba za ndoa ndiyo zimemfanya awe na kamwili kadogo.Kama unataka kufa mapema OA ila kama unataka kuishi maisha marefu achana na hayo mawazo potofu , heshima inakuja tu tafuta mkwanja uone kama hujaheshimiwa hadi na wazee..........kwani kulea huwezi lazima uwe na mke?