Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,562
- 986
Kudadaadek........ umri wangu unakaribia miaka 38, sina hata mchumba wala mtoto wa kusingiziwa. Hivi ninaweza kweli kupata patna wa kuoa? nakaribia kukata tamaa. Lakini ni lazima kuoa?. But I think I need some one in my life. Will some one be interested to rescue me? please communicate with me
walio-oa wanakutamani sana. Maana ndoa zilivyo vimeo, usipime. Tena kama ni mkristo ndio kuwa makini sana, maana ndoa zetu ni kama reli, hazina U-turn ni mpaka kifo kitenganishe.