maria pia
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 516
- 118
kutakwa sio kesi. mi cjawahi chezewa kijanaKwani da maria pia, mpaka unafika leo hii ulishatakwa na wangapi? Je hao wote walokutaka walikua na nia ya kukuoa kweli?
kutakwa sio kesi. mi cjawahi chezewa kijanaKwani da maria pia, mpaka unafika leo hii ulishatakwa na wangapi? Je hao wote walokutaka walikua na nia ya kukuoa kweli?
mimi49 unajua kabisa kuwa unahitajika kwenye maisha haya ila unaweka pooziWe fanya unalotaka kufanya utajijua mwenyewe!
mkuu hapa usipojisalimisha unaweza kunyimwa msosi bureUmeona uombe msaada enhee
aaaah jamani you know cant betray youlol,.mokoyo anafikiri mimi Munkari nashukuru sana kwa kunipa taarifa.....thubutu kukutwa utajuta kunifaham, mi huwa sishei eti. cc mimi49
usisikilize ya walimwengu watakupotoshaeheeee ndo nishakuja. jitetee ss nikuone la sivyo kibuti kinakuhusu mokoyo
hapana shikamana unaposhikwa bibieHuyu Mokoyo anataka anipake mafuta kwa mgongo wa chupa!
kutakwa sio kesi. mi cjawahi chezewa kijana
Na vipi kuhusu christine ibrahim?mimi49 unajua kabisa kuwa unahitajika kwenye maisha haya ila unaweka poozi
Na vipi kuhusu christine ibrahim?
ha ha ha mi nishamuweka kwenye "BLACKLIST HUYO"[uUOTE=okoyo;7765840]mydia mimi49 huyo mdada anayeitwa christine Ibrahim ana mapozi kama nini?
ha ha ha mi nishamuweka kwenye "BLACKLIST HUYO"
I bet no nooo no mnamuone christina hayupo hivyo noooooo
ha ha ha mi nishamuweka kwenye "BLACKLIST HUYO"
Teh teh teh
Jamani mbona naonewa!!
Nimefanyaje tena kustahili blacklist!!!?mimi49
Ha ha ha si wewe shost huyo Mokoyo lolTeh teh teh
Jamani mbona naonewa!!
Nimefanyaje tena kustahili blacklist!!!?mimi49
Hawana tofauti na wauaji na watoa roho za watuSiwapendi watu wanaochezea hisia za wenzao!
Nyie ndio mnaolaaniwagwa na ma x wenu!!