ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,970
- Thread starter
- #21
Nilivyomtongoza nilimtamani kama wanaume wengi wanavyotamani, na kama ujuavyo wadada wanakuaga wagumu so watakiwa ongeza na uongo flani na ikibidi ahadi fulani ili akukubalie. Sasa hebu nishauri ndugu nijiachanishe vipi basi mana nahisi sielewielewi.katika mapenzi hakuna majaribio, ukilianzisha lazima ulimudu .. na katika mapenzi huwa kuna kupendana , kupendwa au kupenda , kama yeye kapenda na kafika badili mawaso yako kwani naamini hadi ulipomtongoza ulimpenda na ulikuwa na hisia nae .. hivyo elekeza majeshi huko