Nitamwachaje Huyu binti?

Nitamwachaje Huyu binti?

kwani wakati unaanza kumtongoza hukujua kama bado upo upo? au ulikuwa unapima maji kwa kichwa?
 
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?

.................... Uli date na yeye wa nini kama ulikuwa bado upoupo?
 
Siwapendi watu wanaochezea hisia za wenzao!
Kwa uelewa wangu mdada ndo anachezea hisia za mwenzake.Mwenzie hana nia yeye anamkomalia yaani mtu kaDipu yeya anapiga wakati ilikuwa wrong number!
 
Siwapendi watu wanaochezea hisia za wenzao!
Kwa uelewa wangu mdada ndo anachezea hisia za mwenzake.Mwenzie hana nia yeye anamkomalia yaani mtu kaDipu yeye anapiga wakati ilikuwa wrong number!
 
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?

nipe no. yake
 
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?

unajifanya player eeh ..hujakutana na makocha wewe...
 
We ulimpenda au ulimtamani?Fanya umuoe huyo binti
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
 
mimi nimeelewa kuwa na wewe kuna nyakati ulishataka kujitoa roho kwasababu ya mapenzi ila ukapata:help:
No aisee sijafikia stage hio!!Ila nina ndugu wa karibu alienda wendawazim kabisa!!
 
Back
Top Bottom