Kwani nawe x wako amefanya hayo..??Nyie ndio mnaolaaniwagwa na ma x wenu!!
Acha utani. Mie sikuwa natania.
Ndio hapo sasa!
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
Siwapendi watu wanaochezea hisia za wenzao!
Kwa uelewa wangu mdada ndo anachezea hisia za mwenzake.Mwenzie hana nia yeye anamkomalia yaani mtu kaDipu yeya anapiga wakati ilikuwa wrong number!Siwapendi watu wanaochezea hisia za wenzao!
Kwa uelewa wangu mdada ndo anachezea hisia za mwenzake.Mwenzie hana nia yeye anamkomalia yaani mtu kaDipu yeye anapiga wakati ilikuwa wrong number!Siwapendi watu wanaochezea hisia za wenzao!
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
Kwa uelewa wangu mdada ndo anachezea hisia za mwenzake.Mwenzie hana nia yeye anamkomalia yaani mtu kaDipu yeye anapiga wakati ilikuwa wrong number!
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
kadipu??? au kabipu??
Viongozi wangu najuaaaa labda nirudie tena nimetumia hilo neno makusudically.Siyo kwamba sielewi.Sio kudip ni kubeep mkuu !
Basi katika pitapita zangu si nikakaona binti flani mtaani, nikamtamani nikamtokea, akanikubalia mahusiano yakaanza. ukweli ni kwamba bado niponipo sanaa afu hata mipango hiyo sina. Sasa yeye si ndo anashikia bango. yaani anakabaje! Sasa kila nikijaribu kumfanyia cheating ili aniache wapi. badala yake hunambia "una roho yangu wewe". haka kausemi afu ukizingatia ni wa kulekule uheheni kananifanya ninywee,
Hebu nisaidieni wadau njia ipi niitume kujinasua na binti huyu?
Hata mimi sipendi, Na ninajutia hili, na linaniuma sana. Ndio maana nataka ku stop swala hili. Tatizo ni jinsi ya kuachana nalo.
Kwani hujawahi kupenda?kumbe na wewe ni mhanga?
No aisee sijafikia stage hio!!Ila nina ndugu wa karibu alienda wendawazim kabisa!!mimi nimeelewa kuwa na wewe kuna nyakati ulishataka kujitoa roho kwasababu ya mapenzi ila ukapata:help: