Mnyalu Junior
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 573
- 200
Habari wadau! Mimi ni kijana wa miaka 27, Elimu yangu ni shahada ya kwanza. Natamani nimpate mchumba wa kizungu lakini sijui nianzaje.
Nahitaji awe wa rangi (race) zote Dunianiisipokuwa Mwafrika (mweusi). Kwa yeyote anayeijua website au link yoyote itakayoniwezesha kupata msichana mzungu naomba anisaidie.
Nahitaji awe wa rangi (race) zote Dunianiisipokuwa Mwafrika (mweusi). Kwa yeyote anayeijua website au link yoyote itakayoniwezesha kupata msichana mzungu naomba anisaidie.