Nitampataje mchumba wa kizungu?

Nitampataje mchumba wa kizungu?

Mnyalu Junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
573
Reaction score
200
Habari wadau! Mimi ni kijana wa miaka 27, Elimu yangu ni shahada ya kwanza. Natamani nimpate mchumba wa kizungu lakini sijui nianzaje.

Nahitaji awe wa rangi (race) zote Dunianiisipokuwa Mwafrika (mweusi). Kwa yeyote anayeijua website au link yoyote itakayoniwezesha kupata msichana mzungu naomba anisaidie.
 
Shahada yako mkuu ni ya nini samahani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Habari wadau! Mim ni kijana wa miaka 27, elimu yangu ni shahada ya kwanza. Natamani nimpate mchumba wa kizungu lakin sijui nianzaje. Nahitaji awe wa rangi (race) zote duniani ISIPOKUWA Mwafrika (mweusi). Kwa yeyote anayeijua website au link yoyote itakayoniwezesha kupata msichana mzungu naomba anisaidie.

fuga rasta,kuwa rough kidogo halafu uwe unashinda beach utampata.
 
Uza kila kilicho chako na uhamie huko ulaya...ambapo ndio kwao...utakuwa unachagua mwenyewe huko huko....
 
Habari wadau! Mim ni kijana wa miaka 27, elimu yangu ni shahada ya kwanza. Natamani nimpate mchumba wa kizungu lakin sijui nianzaje. Nahitaji awe wa rangi (race) zote duniani ISIPOKUWA Mwafrika (mweusi). Kwa yeyote anayeijua website au link yoyote itakayoniwezesha kupata msichana mzungu naomba anisaidie.

Cc Mange Kimambi
 
jichange nenda ulaya kasome shahada ya pili utawapata..
 
Nenda Ulaya lazima utawapata hao,ila kwa huku lazima ujitoe ufahamu,kushinda beach uvute bange na ufuge rasta,uvae singklend za bob marley,jah people,pama la bendera ya jamaice na vitu vinavyofanana na hivyo.
 
fuga rasta,kuwa rough kidogo halafu uwe unashinda beach utampata.

Nenda Ulaya lazima utawapata hao,ila kwa huku lazima ujitoe ufahamu,kushinda beach uvute bange na ufuge rasta,uvae singklend za bob marley,jah people,pama la bendera ya jamaice na vitu vinavyofanana na hivyo.

Rasta hawana ishu sasa hivi, wazungu wanapenda huge thngs,so kama vip tembea tembea bichi ukiwa na boxer wakion nyoka kubwa wenyewe watajifanya wamepotea njia wanauliz direction (ila jipange for three some).

Ukifuga rasta itakuwa hivi
 

Attachments

  • 1421562330004.jpg
    1421562330004.jpg
    38.1 KB · Views: 1,237

Similar Discussions

Back
Top Bottom