Nitampataje huyu binti wa kibosile!

Nitampataje huyu binti wa kibosile!

Aisee natamani nimfundishe asimkose mtoto mzuriii
Bora maana anavozembea kweli
Atakuja kumwita shemej

Ila ujue unamlima mrefu wakupanda
Zaid ya kitonga
 
Ha ha ha JF buana kila mtu anajua.

Pamoja na kwamba hujasema ni social activity gani, lkn inaonesha ni kanisa tena la walokole wa kisasa jamii ya kina masanja ambapo me na ke hukaa mchanganyiko.

Sasa fanya yafuatayo:-

1. Hakikisha wewe ni 25+ na una kazi inayokupa kipato, means ukikabidhiwa mke anaweza kula, vaa, kunywa na akikuzalia watoto wataishi vizuri.

2. Hakikisha binti hasomi yaani siyo mwanafunzi wa form one hadi six(Hili naona haliwezekani, mtoto wa chuo hawezi ambatana na mshua wake) lkn jaribu kutatua tuta hilo

3. Kama status yako na yake ziko positive, omba kumtembelea nyumbani kwao. Utaandaliwa mazingira ya kutiririka vizuri.

LAKINI kama mko negative, yaani wewe bado unatuzwa sawa na yeye, futa mawazo kabisa maana utakuwa unataka kutenda dhambi ya uzinzi japo hadi sasa usha zini naye kiroho, usha mtamani sana.
 
Haya mapenzi ni habari nyingine! Huwa nikimuona nabakia kuota tu! Mawazo yanahama kabisa! Naishia kumuangalia tu!


Aiseee huko co kupenda
N kufloat kwa uogaaaa
 
Ha ha ha JF buana kila mtu anajua.

Pamoja na kwamba hujasema ni social activity gani, lkn inaonesha ni kanisa tena la walokole wa kisasa jamii ya kina masanja ambapo me na ke hukaa mchanganyiko.

Sasa fanya yafuatayo:-

1. Hakikisha wewe ni 25+ na una kazi inayokupa kipato, means ukikabidhiwa mke anaweza kula, vaa, kunywa na akikuzalia watoto wataishi vizuri.

2. Hakikisha binti hasomi yaani siyo mwanafunzi wa form one hadi six(Hili naona haliwezekani, mtoto wa chuo hawezi ambatana na mshua wake) lkn jaribu kutatua tuta hilo

3. Kama status yako na yake ziko positive, omba kumtembelea nyumbani kwao. Utaandaliwa mazingira ya kutiririka vizuri.

LAKINI kama mko negative, yaani wewe bado unatuzwa sawa na yeye, futa mawazo kabisa maana utakuwa unataka kutenda dhambi ya uzinzi japo hadi sasa usha zini naye kiroho, usha mtamani sana.
Nimemaliza shule mkubwa! Hapa mission ni kumpata binti! Mengine kwa sasa hayana ulazima sana! Apatikane kwanza!
 
Andika no yako mpe mhudumu ampe kimyakimya. Andika no weka plz call me. Ndo kazi ya wahudum
 
Andika no yako mpe mhudumu ampe kimyakimya. Andika no weka plz call me. Ndo kazi ya wahudum
Ninayo biznes kadi mkuu! Ila mazingira ya kufanya hicho kitendo ni magumu sana!
 
Hahaha mkuu unafikiri kwanini kuna simu siku hizi!?
Chukua namba ya simu/mpatie ya kwako.
Kumpatia ya kwako ni sahihi zaidi, sababu kama yupo interested atakucheki na kama hayupo interested atakupotezea.
 
Hahaha mkuu unafikiri kwanini kuna simu siku hizi!?
Chukua namba ya simu/mpatie ya kwako.
Kumpatia ya kwako ni sahihi zaidi, sababu kama yupo interested atakucheki na kama hayupo interested atakupotezea.
Sawa mkuu nitampa kadi yangu!
 
We acha tu hujawahi kupenda aisee!
Haaa mahaba ya bampa 2 bampa
Nliachana nayo tang 2015

Baada ya kuponeachupuchupu
Nijinyongeee yaan achaaa

Namshukuru dem dada flan
Pendo ndo aliniokoa aisee
Kwa ushaur wake
 
Back
Top Bottom