- Thread starter
- #21
Nimejaribu kote huko kuna likizo moja nilikuwa bongo kuna kipindi fulani hivi radio one sijui kama bado kipo cha kutafutana nilipeleka tangazo langu pale ila sikupata reaction mkuu,bt thnks sna.daaaaaaaaaah.....
sniper kwa msako huu, asipopatikana atakuwa hayupo kwenye ulimwengu huu...
sgaga fanyia kazi ushauri wa sniper, hoping utafanikiwa...
wish u lucky