TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,791
- 2,077
Nina kabinti kangu kapo darasa la sita mapepe kweli, naogopa wahuni wasije wakakatundika mimba nataka nikaweke vijiti vya uzazi wa mpango ili wahuni wasikakatishe masomo na kuniletea mimi balaa la kutunza mjukuu. Je hili wazo la kumweka binti yangu vijiti vya uzazi wa mpango nitakuwa nimekosea? Naombeni ushauri jamani.