Nitakuwa nimekosea??

Muhimu ni kumkalisha kitako na kumfunza maisha yalivyo na namna ya kujiepusha na vishawishi ili aweze kujitunza.kumuweka hicho kijiti sio solution kabisa
 
vijiti usijaribu! please dont do it please! kuna wasichana walitumia baadaye walipata continous breeding! achilia mbali kuathri mfumo mzima wa uzazi kwa mwanao bado mdogo! jitahidi kumueleza taratibu madhara ya ngono ikishindikana kuwa tayari kwa mjukuu na usiwe na hofu hata akizaa atasoma tena zote ni hatua hakuna litakalo haribika jipange jinsi ya kumsaidia kuliko kumjengea hofu ya kuwa atapata mimba na ikiwezekana usiwe mkali unapo mwelekeza na uwe tayari kumpa mifano mingi ya matatizo ya ngono utotoni
 
we sasa unataka kumwaribu mwanao mwnyw kabla watu hawajaharibu..hiv wajua faida na hasara za hivyo vijit?kwakuwa wewe ni mzaz nenda kwenye uzaz wa mpango kawaambie hili usikie watakavyokuambia
 
Thupa gluuu ihusike hapo. Mbandikilie mbali kakitobo utamu kake
' Just joking'
 
hapana usifanye hivyo... Kuwa na mazoea ya kuongea na mwanao, muelimishe, mpe madhara ya mapenzi utotoni....kuwa nae karibu kama rafiki...akikuuliza maswali usijibu kwa ukali kuwa kajifunza wapi bali mjibu kiupooe huku ukimtahadharisha asijaribu.....

Usiharibu maisha ya mtoto kwa kumweka vijiti
 
Mh watoto wa siku hizi wanaanza mambo ya kikubwa mapema... All in all vijiti sio solution..
Kaa na mzazi mwenzako muongee nae. Ikiwezekana apate councelling..
 
ukimuwekea vijiti ni sawa na kumwambia; 'sasa waweza kwenda fanya uasherati utakavyo-usiogope huwezi pata mimba!'
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom