Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
- Thread starter
-
- #41
Mi huwa nawahurumia wanaojikuta wameingia kwenye ndoa na watu wa aina hii..Inategemea,ila mapenzi ni ya watu wawili na hayatakiwi kushirikisha wazazi,rafiki, wala ndugu,nyie wawili mtakavyoamua kuendesha mahusiano yenu hadi kuwa mme na mke inakuwa sawa.Tofauti itatokea pale kama kuna upande ulikuwa unaigiza kupenda,na pia kukiwa na ushindani lazima upande mmoja uumie.
Wapo wenye upendo wa dhati,
Unaambiwa 'love when you are ready not when you are alone '
Ikiwa mwananume ananiacha mimi sababu ya matatizo yangu na majaribu nnayopitia.
Nami siku yakipita nkasema sutaki mtu mwenye matatizo ntakua mkosaji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana kuna usemi tafuta mwanaume (mtu anayejua maisha na changamoto za kijinsia n.k);sasa ukiendelea kuangaika na wavulana lazima hayo matatizo yawepo.Mwanaume anatunza siri ya mkewe na mwanamke anatunza siri ya mumewe,na wote wanaishi kwa furaha bila kujali upungufu wa mwenzake.Mi huwa nawahurumia wanaojikuta wameingia kwenye ndoa na watu wa aina hii..
Kitu kidogo tu anakuacha
hawawexi kuvumilia changamoto za mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwa mwananume ananiacha mimi sababu ya matatizo yangu na majaribu nnayopitia.
Nami siku yakipita nkasema sutaki mtu mwenye matatizo ntakua mkosaji?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile emoji ya kucheka kila nikiona nlikuwa natabasamu.Sasa kama unamatatizo why asikuache? Rekebisha hayo matatizo kama hutaki akuache.
MKUU,Aiseee we jamaa mbona mkatili ivyo.
We have Borned, we live we die so far so forth
We tapeli upo???
Afu uchungu huwa unamuumiza zaidi yeye anayeubeba. Nothing good will come out bitterness