Nitakuua!!!!!

Nitakuua!!!!!

Ushauri wangu....kwanza tujue wivu wake umeanza lini? Na kwa nini awe na wivu wa hali ya juu kiasi hicho? Je, kuna viashiria vyoyote alivyoviona au kuhisi unacheat au anefuma vitu vinavyomthibitishia kuwa unacheat? Km ndivyo yawezekana alikuweka moyoni sana kiasi haamini km kweli you did it na imemaffect psychologically..

Km ni vivu tu wa kijinga basi pia kuna tatizo, lazima uchukue hatua za haraka na za tahadhari pia, mtu kutamka zaidi ya mara moja NTAKUUA means akitamkacho ndicho kilichojaza moyo wake.

Cha kufanya ripoti polisi ili kuwe na taarifa prior, pili anahitaji psychotherapy huyo fanya utaratibu wa kumtafutia a good psychologist au counselor apate psycho treatment na tatu jaribu kuwa akribu naye, onyesha upendo wako ule wa awali, mtengenezee mazingira ya kuiondoa fear aliyonayo kuwa una wengine, yoko insecure na anashindwa ku handle the situatin.

Huo ni ushauri mdogo that kwangu naona waeza kusaida. Pole sana michosho
 
Last edited by a moderator:
Huyo mpeleke polisi kabisa ni mtuhumiwa!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Usiwe unalala fofofo, atakuchoma kisu cha kifua na akishindwa hilo atakuwekea sumu kwenye msosi.

Usije ukasema hatujakuonya.
 
samahani nimepitiwa KOKUTONA ujue hili wiki nina marafiki kama watatu wamefanyiwa mambo ya ajabu na wapenzi wao iimenikera sana hii... sanahani, najua wewe hauko ivyo...

Usijali best...wape pole sana....sikatai wapo wa dizaini hizo but most of us we are good mothers...pole na wewe it seen the situatio was worse.
 
Huyo mkeo ni mtu wa ajabu, binafsi nashindwa kumuelewa, anawezaje kumtamkia mumewe kitu kama hicho? Amelelewaje khaaa!
 
Mhhhh! Hii kauli inatisha banaaaa!!! Mie siku zote huwa nasema hata wapenzi mnapogombana ni lazima mchague maneno yenu very careful ili msije kuyajutia baadaye. Ongea naye kuhusu hii kauli yake na umuombe aachane nayo kabisa, na kama hujaridhika na maongezi yenu wenyewe wawili basi waiite wazazi/wakubwa zenu wa pande zote mbili ili kulizungumzia hili kwa kina na kulitafutia suluhisho. Waswahili wanasema, "Lisemwalo lipo au linakuja"
 
aisee.jpg

Kupigana, Kugombana sio kuzuri katika ndoa...
 

wewe unaweza ukawa chanzo cha tatizo
mkeo anaonekana kukata tamaa mpaka kufikia hayo
na siku zote anaekuua hasemi anasuka mipango tu!!
angalia unapomkwaza mwenzio,mkae muongee na ujirekebishe!!
wanaume asiewajua nani khaaaa!!
 
tatizo linaweza kuanzia kwako
cos from no where mtu hawezi kukwambia ntakuua

check ur actions first,before we start judging her
huwa ni ugomvi wa kawaida tu ndugu yangu,ila hasira zake humfikisha yeye kusema ataniua....dah
 

wewe unaweza ukawa chanzo cha tatizo
mkeo anaonekana kukata tamaa mpaka kufikia hayo
na siku zote anaekuua hasemi anasuka mipango tu!!
angalia unapomkwaza mwenzio,mkae muongee na ujirekebishe!!
wanaume asiewajua nani khaaaa!!

ni kweli ,ila kukosana ni kwa kawaida,ila siyo mpaka umwambie mwenzio kuwa utamuua.na siyo mara moja,ni kila mara,umekuwa km wimbo
 
View attachment 99357

Kupigana, Kugombana sio kuzuri katika ndoa...

hivi unapiga kiburudisho chako hivi halafu jioni unaomba mchezo? No way Dear.....back to ze topic.
Nashauri mjulishe kwanza athari za maneno yake na kama kweli anamaanisha atajisahau na kurudia tena, hapo chulua hatua. Hata hivyo mshirikisheni sana Mungu kwake yote yanawezekana
 
Mimi Nina tabia ya kukaa kimya, ni ngumu sana Hasa pale unaposingiziwa kitu au kuambiwa lugha za maudhi. Thank God I always swallow them na Nina hakikisha siku hio nasali mwenyewe, ukitaka amka tusali hutaki endelea but nahakikisha nasali as usual Kisha nalala.

Kama ntajiskia kuduu basi ntafanya hivyo bila kujali chochote. ILA jamani MAOMBI yanasaidia tuacheni utani.....

Paloma utumie hii dawa na wewe pia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom