Nitakuua!!!!!

Nitakuua!!!!!

Michosho

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2012
Posts
662
Reaction score
651
Hiyo imekuwa ni kauli ya mke wangu,niliyezaa naemtoto mmoja,ambaye ana umri wa miezi 9.Kauli hiyo amekuwa akiitoa mara kwa mara hasa kunapotokea ungomvi(mara nyingi unatokana na wivu mwingi alo nao) wa aina yeyote ile unaopelekea kupigana.

Hayo maneno ya kuwa ipo siku ataniua ,nimekuwa nikijiuliza sana,endapo anamaanisha au ni hasira tu!!Kila nikitafakali na kuangalia mwenendo wake na tabia yake, nashindwa kuelewa km ni kweli hilo suala lipo kichwani mwake kwa maana ipo siku atalitekeleza ua la!!.ni miaka 3 imepita tangu tuanze maisha na huyu mke wangu.

Suala hili nalileta kwenu JF MEMBERS,mnipe walau mwanga wa nini nifanye juu ya hii kauli ya mke wangu.
Natanguliza shukrani kwa mchango wenu wadau.
 
tatizo linaweza kuanzia kwako
cos from no where mtu hawezi kukwambia ntakuua

check ur actions first,before we start judging her
 
Mokoyo mie hawa watu nawachukulia kama mashetan vile.... hawaeleweki eleweki kabisa hawa viumbe.

uko sahihi kabisa mkuu, wanawake ni viumbe wa ajabu sana, never trust a woman under the sun:yell:
 
Last edited by a moderator:
and mind you, wana opportunity nyingi za kutuua, kuna case study nyingi sana za wanawake kubadilika na kufanya mambo ambayo hayakutarajiwa
Mokoyo mie hawa watu nawachukulia kama mashetan vile.... hawaeleweki eleweki kabisa hawa viumbe.
 
Back
Top Bottom