Suprise
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 2,696
- 1,062
Sasa ukishampa mahala pa kuandika email akakwambia hana email hapo amejiingiza kingi mwenyewe .wewe mwambie "basi hata namba yako ya simu si mbaya unaweza ukaandika kama hutajali" ataandika tu kwa sababu ulishamuwekea mazingira kuwa huhitaji namba yake ya simu ila kwa vile hana email basi umelazimika kuchukua namba yake ya simu
mna mikakati nyie kaaaah