Nitakufa kwa ajili yake

Nitakufa kwa ajili yake

mutahappy

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
529
Reaction score
188
Habari ndugu wanajamvi.
Nipo katika wakati mgumu sana kwa sasa.Kuna binti tulikuwa katika mahusiano lakin yeye alikuwa na wivu sana.Nina marafiki wa kike na wafanyakaz wenzangu wa kike na mashemeji wangu wa kike.huwa tunakaa na kuongea mambo mbalimbali lakin mpenz wangu hataki kabisa mm kuwa karibu na mtu wa jinsia ya kike.kutokana na mimi kumwambia kuwa siwez kutengana na hao marafiki sababu watu ni mali aliamua kuvunja mahusiano kwa kudai mimi nina mahusiano na hao wasichana.Nilimbembeleza lakin alikataa kabisa.sikuwa na jinsi nikaamua kuukubali ukweli na kuamua kusonga mbele japo kwa maumivu.Baada ya miezi miwili alianza kunipigia simu na kuniomba turudiane lakin nilimkatalia.aliendelea na baada ya mda akadai atajiua ikiwa ntaendelea kukataa kurudiana naye.baadae niliamua kukata mawasiliano naye kitu kilichomfanya augue kama ukichaa huku akitaja jina langu kila alipo zinduka kutoka usingizini.hali ikawa mbaya na kupelekwa hospital ambako madaktar wameshindwa kuona ugonjwa unaomsumbua ila wakashauri nitafutwe mm.wazazi wa binti wananipigia simu mara kwa mara wakiomba niende lakini siwez kwasababu niko mbali kimasomo na sasa hivi tiyar nina mpenz.wazazi wa binti wanapanga kuja nyumbani ili kuwaeleza wazazi wangu kuhusu tatizo hilo.plz nisaidie mawazo nifanye nini?
 
waache waje, kwani kuna tabu gani?

Hujabaka, hujamroga, na mbaya zaidi alikumwaga mwenyewe.

Ila na wewe miezi 2 tu ushapata mbadala?

Afu acheni kuanza mapenzi kabla akili hazijakomaa, mtauana bure, ex wako labda kapatwa ha hysteria.
 
Makubwa msaidie mwenzio akisharudia hali ya kawaida mtafute mshauri aongee nae kumuelezea hamtaweza kuwa wote najua ataumia lakini ataendelea na maisha afterall hamjazaliwa nae,
 
pole kijana, hawa mabinti wana matatizo tena makubwabinafsi
apa naandika kuna manzi naskia ametishia kujiua kisha nimemwacha,
ushauri wangu ni huu, huwezi kuwa na mtu uamue kuishi nae ati kwa sababu amesema usipomuoa atajiua
utakua kifungoni maisha yako yote hii ndo silaha wanayotumia ya kutishia kujiua!
na vitisho kama hivi wala kanisa wala misikiti haikubali, , kuhusu wazazi kuja kwa wazazi wako
isiwe tabu we waambie wazazi wako ukweli kwamba ulikua na mahusiano na huyo bint,
ikatokea yaliyotokea na ukampata bint mpenzi mwingine
hivo huna tena nafasi kwake
ovious wazazi wataongea ongea maneno mengi mengi ila sasa binafsi ata kama sina mwanamke mwingine siwezi kuishi na mwanamke ambaye ametishia kujiua,, binafsi akwende zake

unajua kuachika ni kama kifo, namaanisha kifo cha mahusiano,,mtu anapitia zile stage za kufa
DENIAL
ANGER
BARGAINING
DEPRESSION NA MWISHO
ACCEPTANCE

sasa huyu ako kwa depression,, anahitaji tu apewe dawa afikie acceptance
 
Makubwa msaidie mwenzio akisharudia hali ya kawaida mtafute mshauri aongee nae kumuelezea hamtaweza kuwa wote najua ataumia lakini ataendelea na maisha afterall hamjazaliwa nae,

We mama mzima lakini??? Issue nyingine ni ngumu kweli inabidi mjitahidi sana kutoa ushauri wa mabinti zenu!!!
 
We mama mzima lakini??? Issue nyingine ni ngumu kweli inabidi mjitahidi sana kutoa ushauri wa mabinti zenu!!!

mzima kabisa baba,unajua hawa watoto wa siku hz wa digitally ni wajinga sana angekuwa mwanangu ningemkomesha asiniletee tamthilia na movie kwenye maisha sina muda wa kutazama hv kweli mitoto mijinga hii mi nimebeba mimba miezi 9 nilimbeba na huyo anaetaka kujiua kwa ajili yake mateso na shida zote nilizopata mwana anaweka chini anabanjuka na eti Love anasahau nilikomtoa jamani watoto wakike nobody is worthy ur life only your baby cause you can die while bringing her or him to the world no one else,
 
waache waje, kwani kuna tabu gani?

Hujabaka, hujamroga, na mbaya zaidi alikumwaga mwenyewe.

Ila na wewe miezi 2 tu ushapata mbadala?

Afu acheni kuanza mapenzi kabla akili hazijakomaa, mtauana bure, ex wako labda kapatwa ha hysteria.

sio labda da konie ni hysteria hiyo huyu dogo ampe ata picha yake atulie atakufa bure kibinti cha watu..
 
Mamzalendo hapo sasa!!! Yaani full vimbangwa! Nadhani hata malezi ya wazazi hayakuwa bora mpaka hapi walipofikia.
 
Last edited by a moderator:
Habari ndugu wanajamvi.
Nipo katika wakati mgumu sana kwa sasa.Kuna binti tulikuwa katika mahusiano lakin yeye alikuwa na wivu sana.Nina marafiki wa kike na wafanyakaz wenzangu wa kike na mashemeji wangu wa kike.huwa tunakaa na kuongea mambo mbalimbali lakin mpenz wangu hataki kabisa mm kuwa karibu na mtu wa jinsia ya kike.kutokana na mimi kumwambia kuwa siwez kutengana na hao marafiki sababu watu ni mali aliamua kuvunja mahusiano kwa kudai mimi nina mahusiano na hao wasichana.Nilimbembeleza lakin alikataa kabisa.sikuwa na jinsi nikaamua kuukubali ukweli na kuamua kusonga mbele japo kwa maumivu.Baada ya miezi miwili alianza kunipigia simu na kuniomba turudiane lakin nilimkatalia.aliendelea na baada ya mda akadai atajiua ikiwa ntaendelea kukataa kurudiana naye.baadae niliamua kukata mawasiliano naye kitu kilichomfanya augue kama ukichaa huku akitaja jina langu kila alipo zinduka kutoka usingizini.hali ikawa mbaya na kupelekwa hospital ambako madaktar wameshindwa kuona ugonjwa unaomsumbua ila wakashauri nitafutwe mm.wazazi wa binti wananipigia simu mara kwa mara wakiomba niende lakini siwez kwasababu niko mbali kimasomo na sasa hivi tiyar nina mpenz.wazazi wa binti wanapanga kuja nyumbani ili kuwaeleza wazazi wangu kuhusu tatizo hilo.plz nisaidie mawazo nifanye nini?

nenda kale mzigo huo atatulia kuliko kujifanya unajua wakati mmeanza mapenzi mkiwa wadogo ndio hasara zake hizo...

kampe malovee huyo she loves you buddy..
 
ni double personality, tena ni ugonjwa wa kujiendekeza hasa kwa mabinti teenager.

sio labda da konie ni hysteria hiyo huyu dogo ampe ata picha yake atulie atakufa bure kibinti cha watu..
 
nenda kale mzigo huo atatulia kuliko kujifanya unajua wakati mmeanza mapenzi mkiwa wadogo ndio hasara zake hizo...

kampe malovee huyo she loves you buddy..[/QUOTE]

sipo tiyar kufanya hivyo ndugu yangu.
 
Nani sasa anaekufa kwa ajili ya mwingine? Wewe, yeye ama Yesu?
Unautwaa uhai kwa ajili ya kiumbe usiemuumba wewe? Kha!
 
napenda nimsaidie lakin naogopa isije kuwa ndo njia ya kuozeshwa
 
waache waje, kwani kuna tabu gani?

Hujabaka, hujamroga, na mbaya zaidi alikumwaga mwenyewe.

Ila na wewe miezi 2 tu ushapata mbadala?

Afu acheni kuanza mapenzi kabla akili hazijakomaa, mtauana bure, ex wako labda kapatwa ha hysteria.

Baki na msimamo wako usitetereke hata wakija wazazi wake
 
Mamzalendo hapo sasa!!! Yaani full vimbangwa! Nadhani hata malezi ya wazazi hayakuwa bora mpaka hapi walipofikia.

wanamuentertain kiaina mi namuacha hapo hospitali namuambia mtoto ukimaliza kutaja hilo jina kwa idadi unayopenda lipa bili utanikuta nyumbani maana dah kwani yeye wa kwanza kuachwa na je kwa hiyo kila mara mziki utakuwa huo akiachwa?na akifiwa je na huyo ampendaye si ndo nami niandike sina tena mtoto,she need to learn to be strong cause its just the beginning,
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha mapenzi wala nini ni utoto tu.Mkikua mtaacha. Ajabu watu kama hawa ndiyo utasikia kesho wameoana na keso kutwa wameachana. Msiwe mnarukia mambo mapema. Sasa ona mnavyosumbuana.
Habari ndugu wanajamvi.
Nipo katika wakati mgumu sana kwa sasa.Kuna binti tulikuwa katika mahusiano lakin yeye alikuwa na wivu sana.Nina marafiki wa kike na wafanyakaz wenzangu wa kike na mashemeji wangu wa kike.huwa tunakaa na kuongea mambo mbalimbali lakin mpenz wangu hataki kabisa mm kuwa karibu na mtu wa jinsia ya kike.kutokana na mimi kumwambia kuwa siwez kutengana na hao marafiki sababu watu ni mali aliamua kuvunja mahusiano kwa kudai mimi nina mahusiano na hao wasichana.Nilimbembeleza lakin alikataa kabisa.sikuwa na jinsi nikaamua kuukubali ukweli na kuamua kusonga mbele japo kwa maumivu.Baada ya miezi miwili alianza kunipigia simu na kuniomba turudiane lakin nilimkatalia.aliendelea na baada ya mda akadai atajiua ikiwa ntaendelea kukataa kurudiana naye.baadae niliamua kukata mawasiliano naye kitu kilichomfanya augue kama ukichaa huku akitaja jina langu kila alipo zinduka kutoka usingizini.hali ikawa mbaya na kupelekwa hospital ambako madaktar wameshindwa kuona ugonjwa unaomsumbua ila wakashauri nitafutwe mm.wazazi wa binti wananipigia simu mara kwa mara wakiomba niende lakini siwez kwasababu niko mbali kimasomo na sasa hivi tiyar nina mpenz.wazazi wa binti wanapanga kuja nyumbani ili kuwaeleza wazazi wangu kuhusu tatizo hilo.plz nisaidie mawazo nifanye nini?
 
Kuna watu mnabahati ya kupendwa jamani! Mimi wangu juzi nilimtishia tuachane ili nimpime kama ananipenda kweli akanijibu "nisimtibue v*zi", nikawa mpole.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom