Nitajie sifa 5 za msichana kuwa mke

Nitajie sifa 5 za msichana kuwa mke

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
marafiki zangu bachelor na ma senior bachelor kama tusemavyo, tuna waangalia wapenzi wetu kwa ajili ya kuwa mke, tukiulizana maswali ya sisi kwa sisi vipi kuhusu mpenzi wako uliye date naye kwa miaka miwili na ushee. Majibu siku zote yana kuwa hivi, hana sifa za kuwa mke. Binafsi huwa siamini hili jibu

swali langu ni hili, naomba mnitajie sifa 5 ambazo zitakufanya wewe kijana umfanye mpenzi wako ambaye umedate naye akashinda viwango na kuwa mke, amewagalagaza wasichana wengine.
binafsi nimekuwa na mahusiano na wapenzi kadhaa, inapofika ananitamkia nimuoe, roho inaniruka kweli, i justcould not imagine growing old with them.
wana mmu, naomba sababu 5 ambazo msichana should possess to qualify to be wife?
nafahamu wote tunamitazamo tofauti, naamini kutakuwa na general qualities.

Mwana mmu, naomba mawazo yako.
 
sifa ya kwanza lazima awe mwanamke. na ajitambue kuwa yeye ni mwanamke
 
1. Awe na jinsia ya kike
2. Asiwe under 18
3. Awe na sound mind kwakua ndoa ni binding contract
4. Awe na utayari wa kuolewa
5. Awe na imani yake

Nionavyo mimi mwanamke mwenye sifa tajwa amekamilika na ana haki zote za kuwekwa ndani kama muke ya kwamtoro
 
Last edited by a moderator:
Kwangu mimi,
1- Lazima anipende (muhimu sana kwangu)
2- Awe na elimu pamoja na uelewa wa kutosha
3- Awe mchangamfu
4- Awe na huruma/kujali
5- Lazima ajue kupika. (Kupika chakula iwe hobby yake) kwamtoro
 
Last edited by a moderator:
1. 'Hasiwe' mlokole au swala 5, as I hate fanatics and bigots
2. Awe anajali usafi wa mwili na mandhari
3. Awe 'normal', not some unstable psycho
4. Awe na mategemeo realistic ktk maisha
5. Asiwe dumb
 
sifa ya 1
Awe na PAPUCHI..!
Kwa hiyo akiwa na papuchi tu wewe unaoa hata kama hiyo papuchi mnatumia wengi?
vp umeandika hii post ukiwa kwenye hiyo Mall huko Kenya nini? Itakua umepanic Al-shabaab...Na umeingia choo cha kike lazima wakukamate labda wakikukaribia ujilipue
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo akiwa na papuchi tu wewe unaoa hata kama hiyo papuchi mnatumia wengi?
vp umeandika hii post ukiwa kwenye hiyo Mall huko Kenya nini? Itakua umepanic Al-shabaab...Na umeingia choo cha kike lazima wakukamate labda wakikukaribia ujilipue

teh teh PAPUCHI ndo habari ya mujini
 
Last edited by a moderator:
1. 'Hasiwe' mlokole au swala 5, as I hate fanatics and bigots
2. Awe anajali usafi wa mwili na mandhari
3. Awe 'normal', not some unstable psycho
4. Awe na mategemeo realistic ktk maisha
5. Asiwe dumb

namba 1 Ndio sifa kuu ya mke, mke lazima awe mpenda Dini....
 
1. Nimpende na yeye anipende

2. Awe mwaminifu na anifanye nimwamini

3. Ambaye atanijengea uwezo wa kumthamini

4. Aweze kunijengea mazingira ya kumjali

5. Awe mrembo
 
Sifa yangu moja tu mimi

Anifanye nijione sijakamilika bila yeye kuwepo. Au nijione siwezi kuishi kwa raha hata nipewe nini kama yeye hatokuwepo ndani ya maisha yangu.
 
1. Awe mzuri,
2. Awe mtamu,
3. Awe msafi,
4. Ajue kunipenda,
5. Awe na ajira au biashara.
 
Back
Top Bottom