Nitaiweka wapi sura yangu

Nitaiweka wapi sura yangu

,,,,,,,,,,Eti naambiwa mama amefariki kwa presha,,,,,,,,,
 
Nina miaka mingi sijafika dar,wenyeji mtujuze hayo magorofa ya gmboto
 
Kama chakula nacho unaweza kupika hv, basi unafaa kuwa mke.
njoo bongo movie!!
 
We uko chuo mama bado ananyonyesha? pole jamani. hata ungemwambia wewe angekufa kwa presha na ungejilaumu kwa nini umesema. R.I.P mom.
 
Nipe ruhsa nifanye muendelezo wa hii hadithi, na jinsi maisha yalivyo kubadilikia baada ya mama kufariki, pia baba alivyo kuchukulia baada ya kuona umetoa siri ilopelekea kumpoteza mkewe, bila kusahau maisha yalivyokua magumu chuoni hadi una maliza na kupata mafanikio makubwa kimaisha na leo kutupa simulizi ya mfano

Ruksa endeleeea
 
Namna ya kuunganisha eneo, hali ya pato na wahusika ndio umechemsha other wise you have talent ....ni movie kama ya 1h30m hivi.
 
Yaani unazimia badala ya kuzindukia hospitali unazindukia nyumbani? Hao watu walimpeleka mtu aliyezimia nyumbani badala ya hospitali? Shughuli ipo hapa!
 
Subiri na mimi nitunge!!! wakiigundua wana jf, kwamba nimetunga nitajielewa siwezi kazi ya kutunga.

Subiri niaze!
 
ka story ka zuri, ila tupe muendelezo, i thnk iwe hivi
 
Inaonekana familia imejaaliwa mpaka ukienda ghetto unatumia ngazi ila baba yako ----- hela zote alizokuwa nazo anaenda kulala gesti za buguruni tena magari mengi ya kwenda kwenu yanapatikana hapo.
 
Hivi gongo la mboto kuna nyumba ya ghorofa? Manake mie mgeni daslama.
Halafu unazimia chuoni na after two hrs unazindukia nyumbani? Lazma una bodyguards na kahelicopter

Acha dharau wewe,unataka kusema goms wanaishi masikini pekeyao? Mm binafsi niliwaifika gongo la mboto mbona matajiri wakumwaga.
 
Wewe sasa ndo una dharau au sijui niite ushamba? Kwako ghorofa ndio utajiri? Wenzio wanajenga ghorofa manake kiwanja kidogo hahaha. Kua uyaone, sio maghorofa mdogo wangu.
Acha dharau wewe,unataka kusema goms wanaishi masikini pekeyao? Mm binafsi niliwaifika gongo la mboto mbona matajiri wakumwaga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom