Nitaitambuaje TECNO original?

Nitaitambuaje TECNO original?

kuuliza si ujinga, nini maana ya kitu/chombo kuwa ni original

Huyo Yahya kweli,hajui hata anasema nini,alafu mtu kama huyu unamkuta ana smartphone nzuri na bundle la internet la kutosha ila vitu vidogo kama hivi vya kugoogle hawezi kufanya
 
Tecno inatengenezwa China lakini cha kushangaza kabisa haiuzwi China, ni Nigeria, Ghana , Kenya na Tanzania, haujajiuliza ni kwanini?


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
Tecno inatengenezwa China lakini cha kushangaza kabisa haiuzwi China, ni Nigeria, Ghana , Kenya na Tanzania, haujajiuliza ni kwanini?


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums

hiyo sio kipimo. unakumbuka majani ya chai bora kabisa yanayotengezwa Tanzania . hayaruhusiwi kuuzwa ndani ya nchi ya Tanzania. wanaita export quality yaani ni kiwango ....... mtanzania hakihitajiii..
hata kenya wanavyo vitu na sera kama hizo. high quality huuzwa nje ya nchi tu :angry::angry:
 
Huyo Yahya kweli,hajui hata anasema nini,alafu mtu kama huyu unamkuta ana smartphone nzuri na bundle la internet la kutosha ila vitu vidogo kama hivi vya kugoogle hawezi kufanya

Ubarikiwe bro
ndio mm cjui lkn tecno haina kiwango hicho unachokitea ww
 
Nimesoma maswali na majibu yenu kwa kina, na imenichukua muda kidogo kufikiri majibu yangu. Ninaendelea kufikiri kidogo ile nije na hoja na mapendekezo ambayo kutokana na mang'amuzi yangu nadhani yatasaidia kwa kiwango kikubwa kupunguza maambukizo ya VVU. Kwa wale mnaokumbuka nilikuwa na mapendekezo matano kwa serikali ya Kikwete, nimeshatoa mawili (Makazi) na lile la Polisi. Pendekezo jingine ni hili la UKIMWI. Nitabandika hoja zangu mwishoni mwa wiki baada ya kuzifikiri kwa kina.
ishu si kuwa na smatphone au kugoogle, lamsingi ni kuelewa kwani hata apa kwetu huwa tunasema kuna vitu original ambavyo vinavotengenezwa hpa hapa nchini
 
Huyo Yahya kweli,hajui hata anasema nini,alafu mtu kama huyu unamkuta ana smartphone nzuri na bundle la internet la kutosha ila vitu vidogo kama hivi vya kugoogle hawezi kufanya

ishu si kuwa na smatphone au kugoogle, lamsingi ni kuelewa kwani hata apa kwetu huwa tunasema kuna vitu original ambavyo vinavotengenezwa hpa hapa nchini
 
Ubarikiwe bro
ndio mm cjui lkn tecno haina kiwango hicho unachokitea ww

Asante,

Hata kama si orijino mi sijui,siitumii,nilichokuwa nakwambia usijumlishe kila kitu cha kichina kwa kutumia ya neno "ya kichina" kumaanisha "fake"...

Haya turudi kwenye orijino na si orijino,ni vipi kitu kinakuwa orijino?

Na kama orijino ni kwasababu ya kuwepo uwezekano wa kutengeneza "counterfit",haya tuambie hiyo fake "ya kichina" orijino yake inatengenezwa wapi?
 
umeangalia kwa makini hakuna palipoandikwa 'original' ? hata kwenye kasha ulilonunulia?
 
umeangalia kwa makini hakuna palipoandikwa 'original' ? hata kwenye kasha ulilonunulia?

katika kasha wameweka specification na ndani ya kasha mna warranty wa miezi 13 wakatoa maelezo yake ila hapana sehemu ata moja iloandikwa kitu original
 
Kitu original nini: hii nii bidhaa/kitu kilichozalishwa kwa kiwango/ubora halisi ulioratibiwa na mbunifu/mtengenezaji wa mwanzo. {origin=mwanzo} fake-kitu/bidhaa ni ile isiyofikia viwango vya mwanzo vya bidhaa hiyo.
NB: ORIGINAL INAWEZA KUWA BORA AU ISIWE NA UBORA KULINGANA NA MATAKWA YA WATUMIAJI, HATA HIVYO FAKE YAWEZA TENGENEZWA NA MTENGEZAJI WA MWANZO(Kutokana na sababu mbalimbali) AU MTENGENEZAJI MWINGINE (Kwa kutumia vigezo mbalimbali mfano soko na bei ya bidha msingi).
 
Ninatumia simu ya Tecno P5 kutoka China, nimeambiwa sio feki(yakichina), nataka kujua ni vipi ntajua kama kweli simu yangu si feki
Nimeuliza sana hili jambo lakini kila nilipokwenda niliambiwa niangalie bei.Ukiona bei iko chini sana basi ujue ni fake.
Kwa kiasi fulani inaweza kuwa kweli ila si mbinu muafaka.
Nilikuwa Handeni nikakuja Tecno P5 inauzwa 150000/- wakt hou Dar ilikuwa 165000/ na nikajua hapa kuna jambo.
 
Labda umekosea ku search au hauja search neno halisi
Google search results for Tecno p5

nimegoogle na kutembelea tovuti ya tecno www.tecno-mobile.com nlichokiona kimezidi kunishangaza kwa sababu hakuna ata catagory ya tecno p5 hata nliposearch only nlipata p3 na phantom Z result ya p5 inasema "" result not found" inaonesha kma nishapigwa changa la macho. bado naomba msaada zaid ili nisirejee makosa

Nadhani hujapekua vema website yao, link ya ukurasa wa P5 huu hapa TECNO Mobile :: Product
 
hiyo sio kipimo. unakumbuka majani ya chai bora kabisa yanayotengezwa Tanzania . hayaruhusiwi kuuzwa ndani ya nchi ya Tanzania. wanaita export quality yaani ni kiwango ....... mtanzania hakihitajiii..
hata kenya wanavyo vitu na sera kama hizo. high quality huuzwa nje ya nchi tu :angry::angry:

Hiyo sera kwa nchi ya China iko tofauti kidogo jaribu kuchunguza wachina wanaokuja nchini wanatumia simu za aina gani kama haujakuta wengi wao wanatumia simu za Iphone kwa nn sasa? Nadhani jibu unalo


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
Hiyo sera kwa nchi ya China iko tofauti kidogo jaribu kuchunguza wachina wanaokuja nchini wanatumia simu za aina gani kama haujakuta wengi wao wanatumia simu za Iphone kwa nn sasa? Nadhani jibu unalo


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums

Mie cjalichunguza ilo ila wachina wenyewe wana usemi wao unaosema "huna haki ya kusema kama hujafanya utafiti"
 
Smart Care hii unaweza kuikuta kwa maduka yanatoa warranty
 
Back
Top Bottom