Nitaijuaje NOKIA N97 original?

Ambassador

JF-Expert Member
Jun 2, 2008
933
75
Wadau, kuna mshikaji kanitembezea N97, anasafiri na anahitaji pesa urgently. Simu ni mpya haina hata mwezi. Problem ninashindwa kun'gamua kirahisi kama ni original au ya kichina kwa kuwa label yake inaonyesha made in Hungary. Naweza kutambua kama hii simu ni genuine?
 
Wadau, kuna mshikaji kanitembezea N97, anasafiri na anahitaji pesa urgently. Simu ni mpya haina hata mwezi. Problem ninashindwa kun'gamua kirahisi kama ni original au ya kichina kwa kuwa label yake inaonyesha made in Hungary. Naweza kutambua kama hii simu ni genuine?

Angalia, kama ina WiFi hiyo itakuwa genuine, za China nasikia hazina WiFi, na pili zinaztotengenezwa hungary na Ulaya hazina selection ya ligha ya Kichina inakuwa na selection za lugha za ulaya.
 
Toa betri kwenye lebel utaona IMEI, Code , FCC Id etc.

Ikiwa haina code number basi achana nayo .Ni full Mchina
 
Wadau, kuna mshikaji kanitembezea N97, anasafiri na anahitaji pesa urgently. Simu ni mpya haina hata mwezi. Problem ninashindwa kun'gamua kirahisi kama ni original au ya kichina kwa kuwa label yake inaonyesha made in Hungary. Naweza kutambua kama hii simu ni genuine?

Una maana gani kusema lebo? Kuna stika na mandishi ya kuchimbiwa. Yeneye maandishi ya kuschimbiwa ni uhakika kuwa ni genuine. Ikiwa na lebo au hiyo stika ikimbie baba, haifai. Pia angalia na hiyo WiFi wadau wanavyoitikia.
 
Wadau, kuna mshikaji kanitembezea N97, anasafiri na anahitaji pesa urgently. Simu ni mpya haina hata mwezi. Problem ninashindwa kun'gamua kirahisi kama ni original au ya kichina kwa kuwa label yake inaonyesha made in Hungary. Naweza kutambua kama hii simu ni genuine?

bonyeza *#06# nokia genuine itaonyesha IMEI number yake.
bonyeza *#0000# nokia genuine itaonyesha ni aina gani i.e n97,n70....vilevile itaonyesha imetengenezwa lini na details nyingine.
 
Type *#92702689# angalia kama inaonyesha life timer, purchase date au warranty info. angalia spellings... nokia feki zinaandika vitu vya ajabu au haionyeshi kitu kabisa ukiweka hiyo code.
 
Either of the two. Ya kuchimbia au stika . Inategemea imetengezwa nchi gani. Hata kama ni ya kuchimbia usipoona code number ni feki. Hiyo code number unaweza kuitumia kuhakiki cm yako kwenye website ya NOKIA. Kama haipo then what do you think? Nimehakiki yangu namna hii otherwise nikliuwa niingie mkenge mazima bro.
 
Angalia, kama ina WiFi hiyo itakuwa genuine, za China nasikia hazina WiFi, na pili zinaztotengenezwa hungary na Ulaya hazina selection ya ligha ya Kichina inakuwa na selection za lugha za ulaya.

Toa betri kwenye lebel utaona IMEI, Code , FCC Id etc.

Ikiwa haina code number basi achana nayo .Ni full Mchina

Una maana gani kusema lebo? Kuna stika na mandishi ya kuchimbiwa. Yeneye maandishi ya kuschimbiwa ni uhakika kuwa ni genuine. Ikiwa na lebo au hiyo stika ikimbie baba, haifai. Pia angalia na hiyo WiFi wadau wanavyoitikia.

bonyeza *#06# nokia genuine itaonyesha IMEI number yake.
bonyeza *#0000# nokia genuine itaonyesha ni aina gani i.e n97,n70....vilevile itaonyesha imetengenezwa lini na details nyingine.

Type *#92702689# angalia kama inaonyesha life timer, purchase date au warranty info. angalia spellings... nokia feki zinaandika vitu vya ajabu au haionyeshi kitu kabisa ukiweka hiyo code.

Either of the two. Ya kuchimbia au stika . Inategemea imetengezwa nchi gani. Hata kama ni ya kuchimbia usipoona code number ni feki. Hiyo code number unaweza kuitumia kuhakiki cm yako kwenye website ya NOKIA. Kama haipo then what do you think? Nimehakiki yangu namna hii otherwise nikliuwa niingie mkenge mazima bro.
Wadau nawasshukuru kwa ushauri. In fact label inaonyesha Finland na sio Hungary. IMEI, Code , FCC Id, WLNA, IC zote zinaonekana ingawa label ni ya kubandika.

Nikitype *#06# na *#0000# zote zinajibu vizuri. Kawaida IMEI inayoonekana kwenye label inatakiwa kuwa the same na ile unayopata ukitype #06# lakini iliyoko kwenye label ni tofauti na ile inayoonekana kwenye screen nikitype #06#.

Nimejaribu kutype *#92702689# na inaonyesha Lifetime: 00:00:07. Hiyo WIFI hata siioni. Bado inanichanganya.
 
Toa betri kwenye lebel utaona IMEI, Code , FCC Id etc.

Ikiwa haina code number basi achana nayo .Ni full Mchina

bonyeza *#06# nokia genuine itaonyesha IMEI number yake.
bonyeza *#0000# nokia genuine itaonyesha ni aina gani i.e n97,n70....vilevile itaonyesha imetengenezwa lini na details nyingine.

Type *#92702689# angalia kama inaonyesha life timer, purchase date au warranty info. angalia spellings... nokia feki zinaandika vitu vya ajabu au haionyeshi kitu kabisa ukiweka hiyo code.

Wadau nawasshukuru kwa ushauri. In fact label inaonyesha Finland na sio Hungary. IMEI, Code , FCC Id, WLNA, IC zote zinaonekana ingawa label ni ya kubandika.

Nikitype *#06# na *#0000# zote zinajibu vizuri. Kawaida IMEI inayoonekana kwenye label inatakiwa kuwa the same na ile unayopata ukitype #06# lakini iliyoko kwenye label ni tofauti na ile inayoonekana kwenye screen nikitype #06#.

Nimejaribu kutype *#92702689# na inaonyesha Lifetime: 00:00:07. Hiyo WIFI hata siioni. Bado inanichanganya.
well ninayo yangu hapa made in finland,niliinunua siku nyingi sana kisha sikuipenda nikaituma bongo jamaa wakaishindwa bei wakatoa sababu kwamba ni ya mchina,iphone yangu imebuma juzi nikaifukua hii nokia n97,sasa ndio naitumia nimejaribu vyote hivi mmesema imeitika vizuri sana so nimejua ni genuine,na kama kuna mtu anataka anipm bei nimletee maana mie sijaipenda kabisa.
 
Type *#92702689# angalia kama inaonyesha life timer, purchase date au warranty info. angalia spellings... nokia feki zinaandika vitu vya ajabu au haionyeshi kitu kabisa ukiweka hiyo code.

hii code *#92702689#haifanyikazi sawasawa kwenye symbian phone, cha kufanya weka seting za wap kwenye hiyo simu halafu nenda wap.getjar.com au twillightwap.com kama ni yenyewe lazima utapata maneno wellcome n97 au things that compatable for your phone. Usipokuta siyo yenyewe, ninachomaanisha hiyo wap site utakayo ingia lazima ita itambua hiyo simu, kama haikutambuliwa huyo ni mchina
 
hiyo iko powa. Ukitaka kuconfrim nenda NOKIA site . tafuta type hiyo ya sm then pana mahali pa kuingiza code number itakupa majibu kwa uhakika zaidi. Ni vizuri kujua Wachina ni nomaaaa
 
hiyo iko powa. Ukitaka kuconfrim nenda NOKIA site . tafuta type hiyo ya sm then pana mahali pa kuingiza code number itakupa majibu kwa uhakika zaidi. Ni vizuri kujua Wachina ni nomaaaa
Nimeenda kwenye website ya Nokia hapo pa kuingiza code hata sipaoni!
 
Huwezi kunnua nokia halai ukiwa afrika ukakuta imetoka china. labda iwe imekwepa suuply chain ya NOKIA.

NOKIA wana kiwanda China, BRAZIL. HUNGARy, GERMANY na FINLAND nyumbani. Nashangaa watu wanakuw aganinst na bidhaa za china product sisi hatuna hata kiwanda cha vifungo. Ofcourse ziko bidhaa bandia but lets nt exagerate
a Nokia ilotengenezewa finland au ujerumani na Nokia yenye kiwango kile kile iliyotengenezewa china zina bei tofauti. sababu ya cost of prduction.

NJia moja ya kujua NOkia yako kama halali ni kwenda kwenye web site na kuingia IMEI NO au kwa jina lingine Serial Number.

Jaribu kugoogle cheking my Nokia phone ikija website ya nokia chagua hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom