Baba Clara
Member
- May 10, 2011
- 94
- 27
- Thread starter
- #61
Deo kisandu huyu ni katika wao ni mkristo mwenzao anatoka kaskazini si tatizo, Tatizo lipo kwa Zitto huyu si katika wao, mgombea wa CHADEMA anapendekezwa na CHRISTIAN DEMOCRATIC UNION, CDU.
Kaka huyu Deo Kisandu ni kiongozi tu huko Tanga ila anatokea mkoa wa Shinyanga(kahama) ukitaka kujua tafuta kitabu kinachoitwa Ukombozi wa Pili wa taifa letu soma kwa nyuma ndo utapata picha....lakini mm nampongeza ni demokrasia na je Dr. Slaa, Mbowe au Zzk wakishuka umarufu wa siasa nani atasimama kama watu hajajitokez