Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

Ha ha ha ha ha! Sawa, inachekesha kweli - wale mliokuwa mnasema kuna nchi zina marais wasiojuwa kiingereza sasa mmempata KISANDU
 
Kisandu kiingereza chake safi sana inahamasisha kuisoma na imenyooka safi kabsa na urais anapata hakuna wa kumshinda kisandu oyeee. ..shenz type. .
 
lakin tunaweza kuwa tunamzodoa na kumtania huyu bwana kisandu, ukweli ni kwamba anahitaji medical attention.. the guy have gone insane,

mambo anayoandika sio kwamba ni mzima, amechanganyikia.
 
There was no point of taking a picture and desiring your face not to be identified naanza kuamini hizi comments kuhusu wewe
 
nchi ina vichaa wengi hii sijapata kuona...sijui ugumu wa maisha au vilevi haramu!
 
if you reach this stage my friend, you start dying slowly!!!!, nimefatilia sana post zako kama kuna plugins zinafail kwenye ubongo hivi!!!

"if you're expressing yourself too much, you're regarded weak" [HASHTAG]#stellon[/HASHTAG]
 
Mi huwa namuonea huruma huyu kaka jamani.
Hana ndugu wa kumsaidia atibiwe?

Halafu najiuliza hivi Polisi wanavyomkamata huwa wanahojiana nae nini?
 
Duu alafu we ndio ticha yani apo! Aseee cjui hao wanafunzi wako wana hali gani.Mkuu bila shaka unatress ambazo zimepitiliza kiwango Fanya kuwaona madaktari wa akili watakusaidia.
 
Nimechaka hadi kifua kinauma! Jamaa HUYU MTU ni Mwalimu kweli? au ameandika akiwa ametafuna bangi nini? Hivi Bugando pale hawana MILEMBE hata ndogo?
 
Back
Top Bottom