Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

Mkuu wangu SEBM ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni.

Mkuu wangu Molemo,

Kumbuka Kuwa Bado Mpaka Jumatatu Usiku Ndiyo Tunamaliza Mwaka..! Ngoja Tuone Kesho na Keshokutwa Atakuja na Post Gani. Mara SEBM Anaswa Kibao na Mkewe. Mara Molemo Apewa Lifti Kwenye Nissan Patrol Nyekundu. Dereva wa Gari alikuwa Mungi!. Ndiko Wanakotupeleka Hawa Wakuu na Makamanda Wenzetu
 
Last edited by a moderator:
Samaha lakini Kisandu sio yule uliyekuwa unagombea uwenyekiti kwa kupitia wa BAVICHA akashindwa? Uraisi ataweza kweli
 
Aisee, kumbe hizi vurugu za hawa watoto huko chadema zimeanza siku nyingi. Aisee, hawa vijana wanatumiwa kama toilet paper. Maskini. Baba uwasamehe, hawajui walitendalo.
 
Tatizo la chadema ukitangaza nia ya kugombea tu baaasi wewe ni masalia
 
Chadema kama hakina ofisi ya wilaya tatizo ni Kisandu au makao makuu??? Unadhani makao makuu wanaweza kumuadhibu Kisandu kwa chadema kukosa ofisi ya wilaya Lushoto?

Ruzuku ya chama haiwezi kujenga ofisi kila jimbo/wilaya.... Chukua mil.250 ambayo CHADEMA tunapata toka serikalini kwa mwezi halafu iweke katika mchanganuo ufuatao:-
~Ruzuku kwa kila mkoa,wilaya,kata,tawi na msingi...
~Operesheni za kichama
~Fedha kwa ajili ya ofisi(makao makuu)..
~Fedha za uchaguzi (chaguzi ndogondogo na uchaguzi mkuu) n.k Ofisi zinajengwa na wapenzi,mashabiki na wanachama kupitia viongozi wa maeneo husika...fedha ya ruzuku ni kichocheo tu.Usipoona ofisi ya chama,jua ni udhaifu wa viongozi wa eneo husika!
 
Tatizo la chadema ukitangaza nia ya kugombea tu baaasi wewe ni masalia

Kwa nini utangaze nia wakati chama inamiongozo na katiba!?wangesubiri muda mwafaka wala wasingeitwa masalia,hawa wanaotangaza nia wana mpango mbaya wa kuigawa chama!Wajiondokee kwa hao wanaowapa chochote ili kuwachafua viongozi wa chama(CDM).
 
Kwa nini utangaze nia wakati chama inamiongozo na katiba!?wangesubiri muda mwafaka wala wasingeitwa masalia,hawa wanaotangaza nia wana mpango mbaya wa kuigawa chama!Wajiondokee kwa hao wanaowapa chochote ili kuwachafua viongozi wa chama(CDM).

Jibu lako ni sahihi kabisa. Wasubiri muda, ukifika watangaze nia zao.
 
yani mmeshindwa kuona mkakati wa zitto hapa?hawa vijana ndani ya cdm wanataka kuwatoa watu kwenye harakati za m4c,hawa ni watu wa zitto without a doubt...cdm haifi kabla ya 2015 kamwambieni hivyo d.haifu aliyewatuma,..3 years to come unaanza kututangazia unataka urais..nyambaf,.yani kampeni za urais zimeanza?!!!!

Hii ndio ile tunayosemaga Zittobia. Atangaze mwingine wa Tanga, kosa atupiwe Zitto???
 
Last edited by a moderator:
Those who were dancing were seen insane by those who couldn't hear the music.
 
Huitaji uraisi kuleta mabadiliko watanzania tunayoyataka, unahitaji nia njema, dhamira safi, kujitoa n.k uraisi siyo position ya kuleta mabadiliko. Hongera kwa kutangaza nia. Mwl Nyerere sidhan kama alionyesha mission ya kuwa raisi kama wewe bali alikuwa na moyo wa kusaidia wananchi na wananchi wakampenda
 
NITAGOMBEA URAIS

Watanzania wanahitaji MABADILIKO na MABADILIKO haya hayawezi kuja bila Watanzania KUAMUA. Na bila Mtanzania mmoja kujitoa kuongoza MABADILIKO haya, na mimi ni mmoja wao. Nimedhamiria, ninaweza kuwa raisi wa Tanzania leo, kesho au keshokutwa. Watanzania wanahitaji kujua KISANDU Deogratius ni nani?Anafanya nini na ana malengo gani kwa mustakabali wa Taifa la Tanzania.



Huitaji uraisi kuleta mabadiliko watanzania tunayoyataka, unahitaji nia njema, dhamira safi, kujitoa n.k uraisi siyo position ya kuleta mabadiliko. Hongera kwa kutangaza nia. Mwl Nyerere sidhan kama alionyesha mission ya kuwa raisi kama wewe bali alikuwa na moyo wa kusaidia wananchi na wananchi wakampenda
 
Mnajidnganya acheni story za mtaani na urais c rahisi kama wavyofikiri mnakurupuka tu kweli naanza kamini mmetumwa...!!!
 
Mkuu hiyo ID ya TUNTEMEKE haina uhusiano na Tuntemeke Sanga, mzee mwenye degree kibao lakini alifungiwa kizuizi cha kijijini kwao na Mchonga.

Hiyo ID ya TUNTEMEKE ni kama Taasisi, ukitaka kujua mwulize Ben Saanane au Zitto watakuambia ni watu gani wanaendesha hiyo taasisi

Mkuu wangu Mungi,

Mkuu wangu Mungi

Nilitumia tu neno 'Sanga' just artistically. Ila kama ulivyosema, Taasisi hii iitwayo TUNTEMEKE, imekuwa na matawi sehemu nyingi. Ikifadhiliwa na kuratibiwa shughuli zake na watu wenye mamlaka makubwa.

Bahati mbaya ni kwamba;
1. Taasisi hii inafanya mambo maovu na ina nia ya uovu kwa nchi na wananchi. Inazima harakati za ukombozi wa Mtanzania. Hivyo, haiwezi kufanikiwa

2. Jasusi wakw mkuu anayeipa taarifa na mikakati ni mtu asiye msomi au mwelewa wa mambo. Ndiyo maana kila wakiweka post, huweka post ya jumla jumla tu pasipo kuwa na ushahidi wowote wa moja kwa moja. Leo akisema kuwa Molemo amefisadi kiwanja cha wazi pale Ubungo/Legho Sanaa wanapokulaga Kitimoto akina Ben Saanane, tutakuwa hatujamtendea haki kwa kuwa yeye kama Molemo, hana hata nguvu na mamlaka ya kufisadi. Halafu usikie kuwa aliyefanikisha kugawa kiwanja ni Renatus Pamba, Diwani wa Sinza. Utastaajabu kabusa kwa kuwa ni maeneo mawili tofauti yenye usimamizi tofauti.

N.B.
Ngoja niendelee kulala bwana; maana Disco la jana pale 'Cave' limenichosha kweli kweli!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wangu Mungi,

Mkuu wangu Mungi

Nilitumia tu neno 'Sanga' just artistically. Ila kama ulivyosema, Taasisi hii iitwayo TUNTEMEKE, imekuwa na matawi sehemu nyingi. Ikifadhiliwa na kuratibiwa shughuli zake na watu wenye mamlaka makubwa.

Bahati mbaya ni kwamba;
1. Taasisi hii inafanya mambo maovu na ina nia ya uovu kwa nchi na wananchi. Inazima harakati za ukombozi wa Mtanzania. Hivyo, haiwezi kufanikiwa

2. Jasusi wakw mkuu anayeipa taarifa na mikakati ni mtu asiye msomi au mwelewa wa mambo. Ndiyo maana kila wakiweka post, huweka post ya jumla jumla tu pasipo kuwa na ushahidi wowote wa moja kwa moja. Leo akisema kuwa Molemo amefisadi kiwanja cha wazi pale Ubungo/Legho Sanaa wanapokulaga Kitimoto akina Ben Saanane, tutakuwa hatujamtendea haki kwa kuwa yeye kama Molemo, hana hata nguvu na mamlaka ya kufisadi. Halafu usikie kuwa aliyefanikisha kugawa kiwanja ni Renatus Pamba, Diwani wa Sinza. Utastaajabu kabusa kwa kuwa ni maeneo mawili tofauti yenye usimamizi tofauti.

N.B.
Ngoja niendelee kulala bwana; maana Disco la jana pale 'Cave' limenichosha kweli kweli!

Pumzika mkuu uwe na weekend njema, mi ni kama niliianza tokea jana hata kulala mbado sijaenda
 
NIMEDHAMIRIA, NINAWEZA, Nitagombea Urais

Deogratius KISANDU
Katibu Baraza la Vijana Chadema (BAVICHA)
Mkoa wa Tanga

UTAPAMBANA NA HUYU NAE KASEMA HIVYO HIVYO


NIMEDHAMIRIA, NINAWEZA, Nitagombea Urais

Zitto Zuberi KABWE
Naibu Katibu Mkuu Chadema na Mbunge Kigoma Kaskazini

Watu wenye UCHU Wa madaraka wameanza kuonekana dhahiri!
 
siku zote kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza,sisi ndo tutatoa maamuzi ya kuwa nani anatufaa kua kiongozi wetu siyo wewe kujipendekeza, ndg kisandu au wewe unazo kura za watanzania wote?
 
Back
Top Bottom