Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

Nitagombea Urais - Kisandu Deogratius

Mimi binafsi simuamini Kisandu kwani kadri ninavyomsoma kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii anavyoandika na ku comment dhidi ya uongozi wa Chadema taifa sitegemei kwamba anaweza kuwa tishio kwa ccm bali yeye ni kipenzi chao, ni gamba lililo ndani ya gwanda.

Labda mleta mada unataka kuhadaa watu kwakuwa mahali alikofikia Kisandu, akifukuzwa ndani ya chama ama kuvuliwa ukatibu wa Bavicha mkoa wa Tanga itakuwa ndio afya kwa ustawi wa chama mkoani Tanga.
 
Who is Kisandu?

Kafukuzwa lini, na nani, na kwaninini huko CHADEMA?

Je Yeye naye alikuwa kundi la ''Misukule ya Zitto'' linalofugwa na CCM linalokesha kuimba wimbo wa Nape wa Kadi ya CCM isiyorudishwa?
Huyu Kisandu ni mmoja wa masalia mwenye akili za kushikiwa. Baada ya kuona amefanikiwa kuukwaa ukatibu wa bavicha mkoa wa Tanga basi akajiona ni anafaa pia kwa urais. Kwa mwanekano wa haraka haraka hii thread imeletwa na Kisandu kutafuta huruma ya wanachama. Lakini tayari alishajiunga na kundi la masalia kumshambulia Slaa. Hakuna cha CCM kuandaa mkakati wa kumwondoa wala nini, ni usaliti wake kwa chama ndiyo unaommaliza.
 
Huyu Kisandu ni mmoja wa masalia mwenye akili za kushikiwa. Baada ya kuona amefanikiwa kuukwaa ukatibu wa bavicha mkoa wa Tanga basi akajiona ni anafaa pia kwa urais. Kwa mwanekano wa haraka haraka hii thread imeletwa na Kisandu kutafuta huruma ya wanachama. Lakini tayari alishajiunga na kundi la masalia kumshambulia Slaa. Hakuna cha CCM kuandaa mkakati wa kumwondoa wala nini, ni usaliti wake kwa chama ndiyo unaommaliza.
Mkuu sasa nimekuelewa barabara.
Kumbe huyu kisandu ndiye yule jamaa mjingamjinga hivi ambaye hujui kutumia ubongo wake vizuri anangoja kutumiwa tu.

Sasa atakula jeuri yake, haijui CCM ilivyochoka, ameshatumiwa kama Condom angoje kutupwa.

Kama anaweza aje Dar atatunzwa kama Habib Mchange anavyotunzwa tena na wanaume wenzake.
 
Hello! Naanza kwa kusema kweli mumtarjiaye kumbe siye! kwa mda wa majuma mawili Taifa limeshuhudia Vijana wa CHADEMA wakijinadi kwa vyombo vya habari Kwa kusema wanataka Dr Slaa aachie ngazi eti Ana kadi mbili za chama,

Imenichukua mda wa wiki mbili na nusu kufanya uchunguzi wangu wa ki interigensia na kugundua kwamba hawa wote ni Mamruki wanaopata pesa kutoka CCM ili wachafue chama, Kwa sababu CHADEMA tuna uhuru wa kutoa maoni pasipo kupingwa,
Bwana Deogratius kisandu! Amekuwa mtu wa kupokea pesa kutoka kwa viongozi wa ccm ili achafue chama chetu,

Nina ushahidi tosha kabisa, nikiwa mkazi wa lushoto na mpambanaji ambae tulimpigia kampeni za ubunge ndugu kisandu
Kisandu hakuwa na hata senti moja, tulichangishana, tulikesha , tulilala ndani ya Gari katika mazingira hatarishi ili Deogratius Kisandu ashinde Ubunge, lakini hakushinda nmatokeo yake akaambulua kura Elifumoja na mamia tu katika jimbo zima la Lushoto,
Nikwamba hakuwa anakubalika,

Tunamuomba Dr Slaa, Mh Mbowe, Prof Baregu, Mh Mnyika Godbless lema Watuondolee hiki kirusi kiitwacho Deogratius Kisandu, Kwani kinaua chama, pamoja na ndugu kisandu kuhodhi madaraka ndani ya Wilaya ya Lushoto kisandu ameshindwa kufanya chama kiwe na office ya wilaya! Chama lushoto hakina wilaya Pesa za ruzuku zote zimeliwa.
Hitimisho
kisandu aondoke lushoto
philip lulinda,
+255 785 83 96 69
 
Enhee sasa mnaanza kumfufua marehemu Chacha ras Wangwe, eti unasema ruzuku ya wilaya ya Lushoto imekuwa nn? Mbowe taratibu naanza kukusoma.
 
Chadema kama hakina ofisi ya wilaya tatizo ni Kisandu au makao makuu??? Unadhani makao makuu wanaweza kumuadhibu Kisandu kwa chadema kukosa ofisi ya wilaya Lushoto?
 
Chadema kama hakina ofisi ya wilaya tatizo ni Kisandu au makao makuu??? Unadhani makao makuu wanaweza kumuadhibu Kisandu kwa chadema kukosa ofisi ya wilaya Lushoto?

Mkuu hujausoma mchezo, hapa ni ile tactic ya kumuweka kati babu. Vita ya urais CDM inapiganwa na watu watatu ila wawili wapo bize kujifanya maswahiba huku wakitega mabomu ya arhini kumvizia adui.
 
Tunashukuru sana mkuu philip LULINDA Tunamjua siku nyingi huyo ni kibaraka wa Magamba na mfuasi mtiifu wa Masalia.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lililopo ni ubaguzi. Umesema Kisandu anamtaka Slaa aachie ngazi, kwa nini na wewe usitake aachie ngazi badala yake unataka afukuzwe? Akishafukuzwa akaondoka unadhani utataka nini zaidi ya kutafuta mwingine wa kumfukuza? CHADEMA BADO SANA MUDA WA KUFUKUZANA, hata mtu akija na mnajua kuwa ni mamluki wa ukweli msimfukuze bali kaeni naye kama vile mnaishi na nyoka. MWENYE MASIKIO .......................................................
 
Kisandu namfahamu, niliwahi kuhudhuria mkutano wa cdm uliofanyika Kahama mjin mwaka jana karibu na ofis ya Moh'd trans, huyu jamaa huwa anadatishwa na mzuka wa chama. Alivyoona watu kibao na wanasikiliza kwa makin akalipuka "2015 nagombea ubunge khm mjin". Mi nikadhan labda mkomboz kaja lkn jins anavyojieleza pointi za kutafuta maana pumba ni nyingi, nikajiuliza labda kwa kuwa yupo na makamanda atajifunza siku nyingine atajirekebisha! Dah! Kumbe tena leo anakuja na 'ugolo' huu tena!? Dogo nitakuwa wa kwanza kukupinga ntakaposikia umechukua fomu za ubunge 2015 khm mjin kwa tiket ya cdm maana wewe ni kirusi hatari, huna msimamo.
 
Jk kafanya URAIS kuwa URAHISI..
Hv mtu uwezi kuchangia maendeleo/mabadiliko ya nchi hadi uwe Rais


unaweza sema unakua limited na mfumo nyonyaji na siasa zisizo na maslahi kwa jamii...urais tz ni kama ufalme unaweza kuibadilisha haraka na kwa ufanisi zaidi jamii ya tz na nyanja zote za kijamii, kisiasa na kiuchumi kama ukiwa na mamlaka ya urais.
 
Naamini ndani ya Chama makini kama CHADEMA, kWANI SISI HATUKUTAKI TENA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mh mbowe mchukue mtu wako kisandu, Nawaomba viongozi wote mje lushoto mshuhudie huyu kijana asivyokubalika
Wengi wanamwita kichaa, baadhi tunafahamu anaishi kwa CCM.
 
Ninaishi Lushoto! naomba sana viongozi wa Taifa watume KIKOSI KAZI cha kumchunguza deogratius kisandu, na yote nisemayo yatabainika,
kisandu anapata support kutoka ccm na kwa baadhi ya viongozi wa wilaya ambao ni viongozi wa ccm ushaidi upo
Dr slaa, mbowe, baregu, mabere marando , john mnyika,Godbless lem,Tundu lisu, Njoni lushoto.
Pia nawatazarisha sana watu wa kahama ambapo kisandu anataka kukimbilia waew macho, na huyo jamaa.
Nimtu wa kuhozi madaraka then anaanza vitimbwi, Mwenyekiti wa wilaya kahama chadema kuwa macho na kisandu, mwenyekiti Mkoa chadema kuwa macho na kisandu akija huko, Kabla ya yote wasiliane na sisi huku Lushot tuwaambie .
Huyo jamaa kweli hafai hata kwa kidogo
 
Back
Top Bottom