Naitwa Consolata ni msichana wa umri wa miaka 24,nina certificate ya forest kutoka chuo cha kimoja Moshi, nimetafuata kazi kwa mda wa mwaka sasa sijapata,ni kweli elimu yangu ni ndogo sana lakini ndo uwezo wangu ulipoishia kwa sababu nimejisomesha mwenyewe na wazazi wangu hawajiwezi,
Wanajamii nisaidieni nipate hata pa kuanzia vilevile sichagui kazi endapo ni ya halali.
Natanguliza shukrani za dhati.
Wanajamii nisaidieni nipate hata pa kuanzia vilevile sichagui kazi endapo ni ya halali.
Natanguliza shukrani za dhati.