FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,417
Ngoja nimamuulize babu nimefikilia mpaka kichwa kinaniuma haiji ..
Umeomba, kukubali au kukataa ni haki yangu kama ilivyokuwa haki yako ya kuomba, na sasa naitumia haki yanguNaomba mnitafsirie sentensi hii kwa kikabila chenu: Jaribu kuwa as faithful to the words here as possible (yaani kile kilugha chenyewe hasa). Unaweza ukatafsiri neno kwa neno: Halafu niandikie ni kilugha gani.
Tunatangaza uadui, kati yetu na kati yao!